CCM haiwezi kushinda, kwanini nasema hivyo

CCM haiwezi kushinda, kwanini nasema hivyo

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Ili ushinde, lazima ukubalike,

CCM hawakubaliki pamoja na kuwa wametumia pesa nyingi sana kulazimisha kukubalika. Mfano ni wa kukodi wasanii, kugawa bure matshert na kofia

Vijana % kubwa hawaitaki,

Ukweli vijana ndio wapiga kura wengi, ndio wanaoitaji mabadiliko

Wamama wengi wataichagua CCM,

Pamoja na hilo, mabadiliko kwa kiasi fulani yamebomoa ngome ya wamama watakao ichagua ccm.

Watu wa makomo wanaume
,

wengi watachagua mabadiko

Wazee,

Kutakuwa na kura za mgawanyiko. Nusu mabadiliko, nusu ccm

CCM imebakiza mtaji wake mkubwa kwa wamama na sehemu nyingine kwa uchache

Kiujumla na kihalali, lazima Chadema ishinde
 
Ninapoishi jirani zangu kwenye uzio mmoja wamama ni ukawa pamoja na mke wng pia
 
Tusidanganyane ni bora kuambizana ukweli tu! Ukweli ni kwamba Watanzania sote tumeichoka CCM! Awe ni mzee, kijana, makamo, kinamama, kinababa, wafanyakazi, wakulima, wasomi na hata wapumbavu na malofa!
 
Sisiem imechoka, sisiem ni ile ile....
Mwaka wa mabadiliko, mwaka wa lowasa
 
Mimi siipendi...
Kuonesha haipendwi wamejiandaa kufanya lolote lile waendelee
 
mimi siipendi ccm, na moja ya sababu ya kuichukia ccm ni lowasa. nitamchagua MAGUFULI. namchukia lowasa kuliko navoichukia ccm.
 
Sababu nyingine ni kwamba ccm ya sasa inachukiwa kuliko ya kikwete kwahiyo kushinda ni ngumu
 
mimi siipendi ccm, na moja ya sababu ya kuichukia ccm ni lowasa. nitamchagua MAGUFULI. namchukia lowasa kuliko navoichukia ccm.

akili nyingine bwana!sasa unaichukia CCM wakati huohuo unataka umchague magufuli ambaye baadae atakuwa mwenyekiti wa chama hicho hicho unachokichukia,au magufuli nimgombea binafsi siku hizi?you must think twice!
 
Ili ushinde, lazima ukubalike,

CCM hawakubaliki pamoja na kuwa wametumia pesa nyingi sana kulazimisha kukubalika. Mfano ni wa kukodi wasanii, kugawa bure matshert na kofia

Vijana % kubwa hawaitaki,

Ukweli vijana ndio wapiga kura wengi, ndio wanaoitaji mabadiliko

Wamama wengi wataichagua CCM,

Pamoja na hilo, mabadiliko kwa kiasi fulani yamebomoa ngome ya wamama watakao ichagua ccm.

Watu wa makomo wanaume
,

wengi watachagua mabadiko

Wazee,

Kutakuwa na kura za mgawanyiko. Nusu mabadiliko, nusu ccm

CCM imebakiza mtaji wake mkubwa kwa wamama na sehemu nyingine kwa uchache

Kiujumla na kihalali, lazima Chadema ishinde

ndugu huenda wengine ni vijana kama wewe ila hatujajitoa ufahamu kama wewe tumebaki na akili zetu timamu kabisa na tunajua nini cha kufanya. na wengine hatujawai kuipigia kura ccm ila mwaka huu tutaipigia huo juu ni mtazamo wako ila mtazamo wangu ni:-

Vijana % itakuwa pasu kwa pasu
Wamama 80% ccm 20% chd
Watu wa makamu 60% ccm 40%ukawa
Wazee 96% ccm 4% chd (akiwemo yule wa ukawa)

ccm huenda wakapata 60% na kuendelea : Ukawa 40% nakuendelea

ni mtazamo tu...
 
Ili ushinde, lazima ukubalike,

CCM hawakubaliki pamoja na kuwa wametumia pesa nyingi sana kulazimisha kukubalika. Mfano ni wa kukodi wasanii, kugawa bure matshert na kofia

Vijana % kubwa hawaitaki,

Ukweli vijana ndio wapiga kura wengi, ndio wanaoitaji mabadiliko

Wamama wengi wataichagua CCM,

Pamoja na hilo, mabadiliko kwa kiasi fulani yamebomoa ngome ya wamama watakao ichagua ccm.

Watu wa makomo wanaume
,

wengi watachagua mabadiko

Wazee,

Kutakuwa na kura za mgawanyiko. Nusu mabadiliko, nusu ccm

CCM imebakiza mtaji wake mkubwa kwa wamama na sehemu nyingine kwa uchache

Kiujumla na kihalali, lazima Chadema ishinde
Mnanioneaaaa
 
Huu ndio ukweli,na CCM haitashinda ila itaendelea kuitawala nchi kwa kuiba kura.Nimesema haitashinda kwa kuwa unapata ushindi kunapokuwa na ushindani wa haki.
Tusidanganyane ni bora kuambizana ukweli tu! Ukweli ni kwamba Watanzania sote tumeichoka CCM! Awe ni mzee, kijana, makamo, kinamama, kinababa, wafanyakazi, wakulima, wasomi na hata wapumbavu na malofa!
 
Sisiem haiwez kushinda kwa sabbu ya wakati yaan majira yake yamefika mwisho Ebu soma uzi huu
Hakuna chama duniani kinacho weza kutawala mfululizo zaidi ya miaka 40
CCM inaondoka madarakani rasmi baada ya Uchaguzi wa tarehe 25 October 2015, Hakuta kuwa na Fujo yoyote wala Msuguano wa aina yoyote kama baadhi ya watu wanavyotaka iwe.
Kuondoka kwa CCM madarakani sio kosa la Rais aliyeko madarakani, Sio kosa la Kiongozi yeyote wa utawala huu bali ni kutimia kwa nyakati zake. Kuna watu wanahemka sana na kutamani kutupiana lawama na ghadhabu. Naamini raisi mwenyewe anajitahidi kufanya liwezekanalo ili akinusuru Chama na kila mbinu na bidii inakuwa kama kutwanga maji kwenye kinu. Kila kitu kinacho shikwa kimepasuka na hii inaumiza vichwa watu wengi kwenye madaraka wakipambana usiku kucha Chama kisidondoke. Lakini watamaliza mabilioni yao yote na hela zao lakini CCM imefikia hatma yake kwa mujibu wa majira na nyakati zake.
Hitimisho la Chama hiki halitokani na matakwa ya kisiasa bali NYAKATI na MAJIRA yake kutimia. Watu hawapambani na Majira bali binaadamu huyafuata majira. Majira yakifika yamefika huwezi kuyazuia.
HAKUNA, NARUDIA TENA, HAKUNA MAJIRA YA DOLA YANAYO WEZA KUTAWALA ZAIDI YA MIAKA 40 MFULULIZO. Miaka 40 ni mchoro wa mstari mwekundu hakuna mamlaka za kidunia zinazo weza kuacha utawala ukavuka mstari huo. CCM from
1977-2015 ina miaka 38 , hapo ndio kikomo. Kama CCM itashinda kwenye uchaguzi basi itakuwa madarakani kwa miaka mitano zaidi 2020 hapo itakuwa na miaka 43, itakuwa imeshavuka mstari mwekundu wa utawala kitu ambacho HAKIWEZEKANI wala hakuna mtawala wala Chama hapa duniani kilicho tawala zaidi ya miaka 40 wala kinacho weza kuvuka mstari wa utawala wa Mwenyezi Mungu.
NITOE MIFANO MICHACHE YA VYAMA VYA KISIASA VILIVYO TAWALA MUDA MREFU BARANI AFRIKA.
Algeria (NLF …1962-1992 ) miaka 30
Angola (PMLA …1975-2015) miaka 23
Cameroon (CPDM…1985-2015) miaka 30
Congo (PMR ..1971-1997) miaka 26
Ivory Cost (PDCI-RDA..1960-1999) ..miaka 39
Kenya (KANU …1963-2002)…… Miaka 39
Mozambique /msumbiji (FRELIMO 1992-2015 [after 17 years of civil war]..miaka 23
Rwanda (NRM..1973-1994)…miaka 20
Uganda (NRA.. 1986-2015)…miaka 29
Zambia (Unip..1964-1991) miaka 27
Zimbabwe (ZANU-PF 1980-2015) miaka 35
TANZANIA (CCM ..1977-2015) miaka 38
Vyama vingine vya kiafrika vimekuwa na utawala wa muda mfupi mfupi. Ukiangalia jedwali hilo utaona chama cha
Parti Démocratique de la Côte d'Ivoire — Rassemblement Démocratique Africain,(PDCI-RDA) Kilivuta utawala wake kuanzia mwaka wa uhuru wa ivory cost wake 1960 hadi 1999 kwa miaka 39, kilipo karibia kunusa miaka 40 kikatupwa nje na Robert aliye pindua kijeshi. Chama kikijikakamua kujaribu kupenya miaka 40 ama kitaondolewa kwa demokrasia au hata kijeshi kama ilivyokuwa kwa Ivory cost ambapo kwa mwaka mmoja jeshi lilichukua nchi kabla ya kuachia utawala wa raia.
Mfano mwingine wa chama ng’ang’anizi kilikuwa KANU. Chama hiko cha Kenya kilijikongoja kwa bidii tokea uhuru wa Kenya 1963 lakini ilipofika 2002 kikagota. Untold story kuhusu Kenya ni kwamba Kanu Kilitupwa nje mgombea wake akiwa Uhuru Kenyatta wakampa Mwai Kibaki wa NRC, lakini wakenya hao hao wamekuja tena kumchagua Uhuru kenyatta akiwa Jubileee Alliance hiyo juzi 2013. Ina maana gani, kwamba 2002 Uhuru alikuwa mbaya na 2013 kapakwa mafuta gani kawa mzuri tena!!, NO.. Fact za Hekima ni kwamba Majira ya TANU yalikuwa yametimia. Tanu isingeweza kupenya 40 years more. Uhuru hakuwa na ubaya wowote lakini majira ya Chama Chake yalitimia. Ni kama Watu wanavyo mwona Magufuli na CCM, Majira ya CCM Yametimia no way Magufuli anaweza kupenya. Ila Baadae akijiweka vizuri au kutumia CCM hii hii au chama kingine May be Magufuli can go but not NOW.
CCM wangetaka kuendelea kuwa madarakani WANGEKIVUNJA CHAMA NA KUZAA CHAMA KINGINE KWA JINA JINGINE, hapo wangefanikiwa kuendelea na utawala kama walivyofanya 1977 kuvunja TANU na kuzaa CCM. Ila ila kwa sasa too late. Kupambana CCM iendeleee kuwa madarakani ni Kupambana na Mwenyezi Mungu ndio maana wengi wanaishia Kufa au kupatwa na matatizo makubwa. Nataka Nifafanue kweli hii kwenye maandiko ya biblia pia.
Katik
 
Hajabu kubwa Tena Nasisitiza kuwa Magufuli Amejinadi Yeye kama Magufuli.Sasa ktk Form ya kupiga kura Hakuna Magufuli pale.Pale kuna CCM.ina Maana Magufuli Alikuwa anakimbia Hakijua fika pakujificha hamna.Watu tumechoka Na Ccm.Pale Kwenye CCM Palitakiwa kuwe ni Magufuli kwani watu Wamemsikia Magufuli ktk Kampeni zake na Siyo chagua CCM.Naona imekula kwa Magufuli.
 
Hajabu kubwa Tena Nasisitiza kuwa Magufuli Amejinadi Yeye kama Magufuli.Sasa ktk Form ya kupiga kura Hakuna Magufuli pale.Pale kuna CCM.ina Maana Magufuli Alikuwa anakimbia Hakijua fika pakujificha hamna.Watu tumechoka Na Ccm.Pale Kwenye CCM Palitakiwa kuwe ni Magufuli kwani watu Wamemsikia Magufuli ktk Kampeni zake na Siyo chagua CCM.Naona imekula kwa Magufuli.

Makufuli na ccm ni janga la kitaifa

kama dengue, kipindupindu na ebola ... combined
 
CCM wamebaki na watoto wa viongozi.

Makundi yote hayawataki hata kuwasikia.
 
Back
Top Bottom