DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,642
Wanaukumbi
Katika mazungumzo yake na media Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Nape Nnauye amesikika akisema kuwa mikutano mingi ya UKAWA imejaa wanywa viroba,walevi na wavuta bangi.
Hili ni tusi kwetu vijana kwani tuliojiandikisha wengi ni watumiaji wa vilevi hivyo ili kukabiliana na mawazo ya ugumu wa maisha.
Hatukutegemea kuwa Ccm haitaki kura zetu vijana kwani hali mbaya ya kiuchumi inachangia kukosa hata suruali ya kubadilisha,hatua ya kuonekana kila mchafu kutokana na kazi za toyo,kuchimba mitaro na makondakta,wapiga debe basi wote ni wanywa viroba.
Vijana wengi wameapa kutoipa ccm kura kwa kauli hiyo na kufikia hatua ya kudai kuwa serikali ya ccm mbona inakusanya kodi kupitia kwa pombe ambayo watumiaji wake wanaonekana ni wabaya katika jamii.
Nape ametakiwa kuachana na kura hizo ziende UKAWA.
Katika mazungumzo yake na media Katibu wa Halmashauri Kuu Itikadi na Uenezi Nape Nnauye amesikika akisema kuwa mikutano mingi ya UKAWA imejaa wanywa viroba,walevi na wavuta bangi.
Hili ni tusi kwetu vijana kwani tuliojiandikisha wengi ni watumiaji wa vilevi hivyo ili kukabiliana na mawazo ya ugumu wa maisha.
Hatukutegemea kuwa Ccm haitaki kura zetu vijana kwani hali mbaya ya kiuchumi inachangia kukosa hata suruali ya kubadilisha,hatua ya kuonekana kila mchafu kutokana na kazi za toyo,kuchimba mitaro na makondakta,wapiga debe basi wote ni wanywa viroba.
Vijana wengi wameapa kutoipa ccm kura kwa kauli hiyo na kufikia hatua ya kudai kuwa serikali ya ccm mbona inakusanya kodi kupitia kwa pombe ambayo watumiaji wake wanaonekana ni wabaya katika jamii.
Nape ametakiwa kuachana na kura hizo ziende UKAWA.