CCM HAITA-ACHIA MADARAKA

bnhai

JF-Expert Member
Jul 12, 2009
2,829
2,387
Matokeo ya Urais Zanzibar na yale ya udiwani ambayo yamefanya uchaguzi wa meya kutoeleweka ni kielelezo cha CCM kutokubali kushindwa. Ni vyema sasa kama Taifa tujifunze upya maana ya demokrasia na kujiridhisha kuwa foleni za wakati wa uchaguzi zinapaswa kuheshimiwa. Kupoteza rasilimali kwa uchaguzi usiotiliwa maana ni matokeo ya taasisi dhaifu na ukiritimba wa madaraka kwa muhimili mmoja wa dola. Katiba ni suluhu la kuondoa migongano isiyo eleweka. Huko ndio tunapaswa tuanzie kwa Tanzania ya Watanzania.
 
nina wasiwasi ccm ilipora ushindi wa lowasa kweli. maana UMEYA tu wa dar na manispaa zake ccm wamekwenda mpaka zanzibar kuchukua wabunge ili kujazia kura. sina imani na ccm kamwe...
 
Back
Top Bottom