Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,956
- 134,037
Ni dhahiri kwamba chama hakikubaliki, haya yanathibitishwa na Magufuli kujinadi kama mgombea binafsi na kukataa kukinadi chama. Mabango yanasema ukweli, ni Chagua Magufuli tu na hakuna Chagua CCM.
Magufuli anakisema chama vibaya sana, kwamba kinalea ufisadi, kimeua viwanda nk. Pia hamna uhakika kama mgombea anakubalika au lah.
Sasa fanyeni hivi kwenye mikutano yenu
1.Msitumie malori kusomba watu toka vijijini kuja kuhudhuria mikutano,badala yake waacheni waje wenyewe kwa mapenzi yao.
2.Msilete wasanii wa Bongo fleva ibaki TOT kutumbuiza,ili muone kama watu wanafata Fid Q ama Magufuli.
3.Msiamrishe vyuo kuleta wanafunzi uwanjani,nimeona VETA,Ualimu na vyuo vyenye watoto wa boarding wakiamriwa kwenye viwanjani.
4.Waulizeni wananchi wanamtaka Magufuli au Lowassa na kwa makini msikilize idadi ya "Ndiyoooo".
Magufuli anakisema chama vibaya sana, kwamba kinalea ufisadi, kimeua viwanda nk. Pia hamna uhakika kama mgombea anakubalika au lah.
Sasa fanyeni hivi kwenye mikutano yenu
1.Msitumie malori kusomba watu toka vijijini kuja kuhudhuria mikutano,badala yake waacheni waje wenyewe kwa mapenzi yao.
2.Msilete wasanii wa Bongo fleva ibaki TOT kutumbuiza,ili muone kama watu wanafata Fid Q ama Magufuli.
3.Msiamrishe vyuo kuleta wanafunzi uwanjani,nimeona VETA,Ualimu na vyuo vyenye watoto wa boarding wakiamriwa kwenye viwanjani.
4.Waulizeni wananchi wanamtaka Magufuli au Lowassa na kwa makini msikilize idadi ya "Ndiyoooo".