Wananchi Wa Mkoa Wa Dodoma Wameshachoka Na Ccm Kila Kona Ukipita Wanasema Wanataka Mabadiliko Ya Lowassa Ili Waaondokane Na Kuomba Na Kuendelea Kuishi Kwenye Nyumba Za Tembe,hadi Karne Ya Sayansi Bado Wanaishi Ktk Nyumba Za Tembe, Wananchi Hao Walidai Kuwa Ccm Inasema Kwamba Dodoma Ni Ngome Yao Mwaka Huu Hawapati Kitu!