Cassius Clay 1964

Mm ni mdogo mno, ila nina wimbo wa Elvis naupenda mno, ninao had kwenye simu, unaitwa SUSPICIOUS MIND
We can't go on with suspicious minds
And we can't build our dreams with suspicious minds.

Nyimbo nzuri sana.
 
Kwa hadith unazo tupatia ni kama sasa maisha yamerudi nyuma sana
Kabisa. Japo hapakuwa na maendeleo makubwa na utandawazi uliopo sasa lakini ni kama vile zamani vilikuwa vinapatikana kirahisi mno. Ni kawaida kwa miaka ya zamani mtoto wa maskini akipata channel kwenda Ulaya tofauti na sasa imekuwa ni lazima uwe tajiri kuweza kupata fursa za kimaisha.
 
Nadhani picha unayoizungumzia ni ile aliyokuwa anampigia kelele liston aamke waendeleze pambano
 
Muhammad Ali i admire him so much

"On the last week i murdered a rock,
Injured a stone,
Hospitalized a brick,
Am so mean i make medicine sick."


January 17 1942 - June 3 2016.
 
Muhammad Ali i admire him so much

"On the last week i murdered a rock,
Injured a stone,
Hospitalized a brick,
Am so mean i make medicine sick."


January 17 1942 - June 3 2016.
Akhi...
Allah alimpa kipaji na akawa mwingi wa kushukuru.
 
Aliwezaje kupata maisha privileged Enzi za ukoloni ambako hata kununua bia Tu Kwa vibali??natamani utusimulie maisha ya Mzee wako kidogo
 
Aliwezaje kupata maisha privileged Enzi za ukoloni ambako hata kununua bia Tu Kwa vibali??natamani utusimulie maisha ya Mzee wako kidogo
The Boss...
Iko siku In Shaa Allah nitaeleza hali ya wakati ule sisi tukiwa wadogo tukiwaona baba zetu na maisha yao.

Wakinunua magari mapya si yaliyotumika kama tufanyavyo sisi hivi sasa.

Ghafla maisha haya yakawatoka baada ya uhuru na wengine wakafa wakiwa katika umasikini mkubwa.
 
Watu wa awali kabisa nilioanza kuwafatilia katika jukwaa hili,
Tangu nikiwa sekondari.
Napenda uandishi wake, na mtiririko wake wa mawazo,
Kudos.
 
Ahsante kwa kumbukumbu, kuna binadamu watakuja kusema hiyo ni photoshop...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…