Iddimarisa
Member
- Jul 12, 2013
- 29
- 4
We ingia website za vyuo ulivyo apply cheki majina ya batch zilizokuwa yet released kama upo then u r qualified alrdy... dats ur approval subir tu admission .......kusubiri CAS mtakeshaa ku browse umoo...
Ukiingia CAS kuangalia approval ni kupoteza muda na kujiongezea stress cha msingi angalia jina lako kwa chuo ulichopangiwa.
Ukiingia CAS kuangalia approval ni kupoteza muda na kujiongezea stress cha msingi angalia jina lako kwa chuo ulichopangiwa.
sasa mfano UDOM wao hata hawajaweka majina tena zaidi ya wale wa kwanza?? hadi leo.
We ingia website za vyuo ulivyo apply cheki majina ya batch zilizokuwa yet released kama upo then u r qualified alrdy... dats ur approval subir tu admission .......kusubiri CAS mtakeshaa ku browse umoo...