Cartoons tata na Hatima ya Tanzania

Prof

JF-Expert Member
Feb 24, 2010
1,577
2,436
Wandugu, siasa za nchi yetu zimeota mapembe na katika Ku peruse nikakutana na cartoons fulani hivi ambazo zinaleta tofasiri na utata mwingi....! Mwenye tafasiri kamili, atusaidie
upload_2016-10-21_22-14-13.png
upload_2016-10-21_22-14-37.png
 
Labda January Manailoni ndiye anaweza kutupa majibu. Kwa maana yeye ndiye Mtaaluma wa katuni za mafumbo kama hizi.
 
1.inamaanisha kuwa waandishi wa habar hawana uhuru ila wanadhibitiwa na gvt
2. ya pili maana yake ni kuwa mtutu ndio njia inayotumika kwa sasa kuzuia ghasia na demonstrations
Whatever is, is.
 
sijakuelewa
hzi katuni si za kwetu maana hiyo ya kwanza ni mtu mweupekazuiwa kuandika
na hii ya pili mtoto wa kiafrika smg ya mchina wakati vijana na watu wazima waligoma kupita hata JKT
labda watoto wa Liberia
picha si zetu leta za kipanya
 
Hizo katuni hazina uhusiano wowote na Tanzania naona umeamua kupotosha kwa kuamua kuweka hisia zako na Hatima ya Tanzania.

Unatafuta attention kwa katuni, kumbuka Gangwe Mob na staili yao ya Rap Katuni hawawezi kutoboa hata wakitafuta Kiki za kila namna. The same applies to your thread...it's all about KIKISM & CRITICISM.
 
Hiyo ya kwanza yaweza kuhusiana na mswada mpya
Mkuu, naunga mkono hoja. ingawa wataalam wanasema kuwa satire, or cartoon za mafumbo huwa na maana nyingi kadiri ya mtu awezavyo kutofasiri. Thanks bro for the insight
 
Hizo katuni hazina uhusiano wowote na Tanzania naona umeamua kupotosha kwa kuamua kuweka hisia zako na Hatima ya Tanzania.
Unatafuta attention kwa katuni, kumbuka Gangwe Mob na staili yao ya Rap Katuni hawawezi kutoboa hata wakitafuta Kiki za kila namna. The same applies to your thread...it's all about KIKISM & CRITICISM.

No wonder ulichoandika na IQ yako ni sawa. by the way, wengi humu ni anonymous, sasa natafuta attention na kick iweje?
 
Hiyo ya kwanza yaweza kuhusiana na mswada mpya

Hiyo ya kwanza yaweza kuhusiana na mswada mpya

Mkuu, naona uhuru wa habari ukidhibitwa na watawala na uhuru wa kutoa maoni ukienda kombo. mwandishi amebanwa na jamii kwa ujumla imedhibitiwa kuelezea hisia zao kwa dhana ya uchochezi. jamii inakata tamaa na hata madudu yanayofanywa na watawala, jamii inaogopa kuyasemea na taifa linakuwa la watu wenye stress na mihemuko mingi. Hakika, Katiba inasiginwa na uhuru wa kutoa maoni unatoweka. jamii inabaki njiapanda. Kwenye Cartoon ya pili, inaonyesha kijana mdogo mwenye afya dhaifu na aliyekata matumaini. Ana SMG hakika amegeuka mwasi (Rebel). Kwa mtazamo wake hana huruma na hajui hatima yake pia. matumaini yake yako mikononi mwake, Mtutu ndo umebaki kuwa mkombozi wake. wanaweza kuwa ni vijana wetu waliohitimu vyuo na kukosa kazi or wanaweza kuwa vijana wetu waliokosa mikopo na kukaa nyumbani. hawana la kufanya na wamegeuka waasi. wanafanya uasi na maandamano yasiyoisha na hali ya amani inatoweka na ujambazi nao unachukua hatamu......(Ni mtazamo wangu tu kamanda)
 
Policcm au polisi inayoongozwa kila cha kufanya na higher arm or government, na sheria kandamizi ya vyombo vya Nnauye
 
Back
Top Bottom