Can Halotel be sued?

Hapati internet Kwa siku tatu Na huduma Kwa wateja nao hawapatikan anataka kuwapeleka mahakani/ kuwqshtaki halotel
asante kwa kutusaidia na lugha... yani baada ya kusoma kwako nimecheka sana madai ya mjamaa kuwapeleka mahakamani halotel!!!
 
Waswahili wanajifanya wazungu wakati wazungu wenyewe wao wanajitukuza na kuwadharau waswahili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…