Camp site for sale at Rombo mashati

Camp site for sale at Rombo mashati

Dr. Wansegamila

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
3,025
Reaction score
8,369
Canp site inauzwa iko Rombo Mashati; ukubwa wa eneo ni 86m by 86m, iko fully furnished. Bei ni Tshs 300million. Call 0754327452 for more details and photos
 

Attachments

  • IMG-20141122-WA0036.jpg
    IMG-20141122-WA0036.jpg
    188.4 KB · Views: 212
  • IMG-20141122-WA0018.jpg
    IMG-20141122-WA0018.jpg
    92.9 KB · Views: 189
  • IMG-20141122-WA0026.jpg
    IMG-20141122-WA0026.jpg
    120 KB · Views: 182
  • IMG-20141122-WA0032.jpg
    IMG-20141122-WA0032.jpg
    154.8 KB · Views: 176
Canp site inauzwa
iko Rombo Mashati; ukubwa wa eneo ni 86m by 86m, iko fully furnished.
Bei ni Tshs 300million. Call 0754327452 for more details and
photos

Ni umbali gani kutoka katika kivutio chochote cha kitalii? Hivyo vibanda ni self contained au kuna public toilet and bathrooms? Kuna facilities gani nyingine kwa ajili ya kuhudumia wageni,

mf: majiko, dinning hall, n.k ambazo zinaweza kumpatia mtu mwanga zaidi juu ya eneo? Rates za kulala kwa sasa ni sh. ngapi?
 
Ni umbali gani kutoka katika kivutio chochote cha kitalii?
Hivyo vibanda ni self contained au kuna public toilet and bathrooms? Kuna facilities gani nyingine kwa ajili ya kuhudumia wageni, mf: majiko, dinning hall, n.k ambazo zinaweza kumpatia mtu mwanga zaidi juu ya eneo?
Rates za kulala kwa sasa ni sh. ngapi?
Kama kilometa 15 kutoka kituo cha kupandia mlima Kilimanjaro kule rongai....pia kuna ziwa chala japo umbali wake siujui kiuhakika...kila cabin ina room mbili za kulala, sebule pamoja na choo cha kushiriki chenye sink la kuogea(Yale ya kutumbukia)Na choo cha kukaa Na heater ya maji. Cabin moja ina washing machine ya nguo na zote zina vikabati vya kishikaji vya ukutani kuwekea vyombo.
Pia kila room ina vitanda Na makabati ya nguo ya ukutani
Pia kuna jiko na dinning kwa ajili ya wageni.
Kwa sasa ipo inactive; so haijalaza wageni for quite some time now.
Ina servant quarters pia
Kuna excellent view ya mlima Kilimanjaro kwa upande Wa pili..unuonea kusini badala ya kaskazini iliyozoeleka.
Na unaona Kenya kwa karibu sana hata kwenye picha ipo....eneo lipo karibu Na custom ya kenya.
Gazillionaire sorry for late reply
 
Last edited by a moderator:
Sawa Dr.
Hembu tupe website au jina lake ili niangalie kama kwenye travel forum ilikuwa inafanya vizuri.
Kuna jamaa naweza kukupa email yao wakakupigia debe ya kuiweka sokoni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom