Call for interview

Pole...jfunze kua unanote pembeni vitu muhmu kama ivo baada ya kutuma maombi,pia ukitoka kwenye interview uchukuage number za watu mliokua nao ktk interview ili uwasiliane nao kujua kama wameita au vipi kuepuka kukaa na kujipa matumain utaitwa kumbe wenzio kazini kitambo
 
Licha ya yote niliyokusema, nakutakia interview njema ndugu yangu..lakini ni lazima tukumbushane masuala ya msingi katika maisha!

Ila nawe haupo makini mkuu ndio maana nikakuambia kua sio unapost tu ktk uzi bila kujua wa unachopost kinaweza kua na ( ve) au (-ve) effect unanisema sana wakat interview nimeshafanya na nasubiria majibu mpk sasa wewe ndio leo wamalizia kunisema na eti kunitakia interview njema.
 

Kweli kiongoz lkn ata mazngira ya kubadilsha namba yalikua magumu kwani 2likua watatu tu na wengne walikua wamepitilza umri so ikawa ngumu kwangu kuwavamia na kuomba namba ila ikipita j5 napotezea mazima mkuu wangu.
 
Msaada tena nimeitwa na vodacom kwa post ya customer care kesho saa 4 asubuhi erolink moroco. Km yupo 2lieitwa nae humu 2wasiliane na kwa yeyote aliewahi kufanya interview vodacom kwa post hyo anisaidie interview yao inakuaje(oral or written) na inamaswali yapi ambayo wanayapendelea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…