Watu wako kazini kaka! Interview ilikuwa mwezi Feb mwishoni hadi Machi, mi nimeanza kupiga mzigo tar 4 mwezi huu. labda kama walitangaza kazi tena ukiacha zile za Febr mwaka huuHallo guys how tins?
I applied for totorial assistant post udsm, kuna mdau yoyote ana taarifa zozote kuhusu kufanyka kwa interview? We work as a team, youth social network, we achieve