walitola
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 4,832
- 5,632
Habarini za asubui wandugu,
Kuna tangazo nimeliona kwenye AjiraZetu la kuitwa kwenye usaili Tume ya Mahakama utakaofanyika tar 6 October, 2015. kwa iyo wamesema majina yapo kwenye Daily News la tar. 28/09/2015 yaani la jana, kama kuna mdau anaweza kupiga picha kutupia umu itakuwa vizuri.
Karibuni wakuu!
Kuna tangazo nimeliona kwenye AjiraZetu la kuitwa kwenye usaili Tume ya Mahakama utakaofanyika tar 6 October, 2015. kwa iyo wamesema majina yapo kwenye Daily News la tar. 28/09/2015 yaani la jana, kama kuna mdau anaweza kupiga picha kutupia umu itakuwa vizuri.
Karibuni wakuu!