CALL FOR INTERVIEW: Tume ya Madini

Surely mkuu. Songea wamefanya written, kuna mshikaji ametoka kufanya. Lindi wamefanya jumamosi. Dar bado hatujapata taarifa rasmi
Sijajua, wa Songea wametoka written mida hii
 
Kwanini sisi wenye degree hatujapitia hiyo Form Four Mkuu
Kuna taarifa nimepewa kuwa kuna MAAGIZO wamepewa kutoka juu. Kuanzia ngazi ya DEGREE na kuendelea watolewe kwenye mchakato na wachukue wa FORM FOUR.
 
Kuna taarifa nimepewa kuwa kuna MAAGIZO wamepewa kutoka juu. Kuanzia ngazi ya DEGREE na kuendelea watolewe kwenye mchakato na wachukue wa FORM FOUR.
Ila mbona Tangazo halijataka watu wa Degree mkuu,walihitaji watu wa 4 huku wakiwa na certificate ya Uhasibu/Ugavi/Madini.

Na hata ukiangalia miaka ya nyuma walikuwa wanachukua watu wa 4 tu ila uwe na D ya math au zaid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…