CAD Engineer available

CAD Engineer available

Kama upo interested kufanya kazi serikalini naona kuna nafasi zimetangazwa i think ni wizara ya ujenzi/miundombinu zaidi ya 150 kwenye fani ya civil and transportation engineering.
 
Kama upo interested kufanya kazi serikalini naona kuna nafasi zimetangazwa i think ni wizara ya ujenzi/miundombinu zaidi ya 150 kwenye fani ya civil and transportation engineering.

Nimeziona mkuu , ngoja ni apply .
 
ni nafasi nyingi sana za Civil Engineers esp Graduate Eng.
 
mkuu mbona nimeangalia ajira.go.tz sijaona hizo nafasi za kazi... naomba clarification mkuu.

Check vizur kwa pembeni zipo kwenye PDF ambapo unatakiwa u-download.
 
CAD eng bado anapatikana kwa wale wenye miradi ya barabara, maji nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom