hello JF,
kuelekea uchumi wa kati......
ningependa kuona wizara ya kilimo,biashara na science/technology....
wanakua na watu wao,
wa kusaidia watu,wanaotaka kuanzisha biashara zao kwenye hizo sectors
watu wakitaka kufungua business......
wapewe initial guidance...
na pengine kuwa link na potential investors....