Mparee2 JF-Expert Member Joined Sep 2, 2012 Posts 3,288 Reaction score 5,762 Jan 25, 2013 #1 Nahitaji mtu anayefanya biashara ya rejareja Arusha tushirikiane naye. Awe ameshaanzisha na iwe kwenye eneo lenye usalama na iwe na mtaji unaozunguka
Nahitaji mtu anayefanya biashara ya rejareja Arusha tushirikiane naye. Awe ameshaanzisha na iwe kwenye eneo lenye usalama na iwe na mtaji unaozunguka
Naby Keita JF-Expert Member Joined Oct 20, 2011 Posts 12,891 Reaction score 20,128 Jan 26, 2013 #2 aah mparee dadek no biznes
wajingawatu JF-Expert Member Joined Jan 20, 2013 Posts 2,051 Reaction score 2,462 Jan 26, 2013 #3 Mimi ninayo biashara ya kuuza madini yaliyokatwa,wewe una kitu gani? Lazima kwanza tujue tunashirikiana kwa vitu gani.
Mimi ninayo biashara ya kuuza madini yaliyokatwa,wewe una kitu gani? Lazima kwanza tujue tunashirikiana kwa vitu gani.
wamatinga Member Joined Jan 22, 2013 Posts 99 Reaction score 15 Jan 27, 2013 #4 wajingawatu upo arusha? Ni PM nina biashara Last edited by a moderator: Jan 4, 2016