Imagine una oga kwenye bafu la passport size akaja mtoto akachukua nguo zako pamoja na taulo,ukatoka nje uchi wa mnyama ukaanza kumkimbiza,nani ataonekana chizi?? Hii scenario inafanana na sakata la mtoto aliyeshawishiwa kukojolea msaafu.
Hii issue ni ndogo sana tena imefanywa na mtoto ambaye yuko katika maturity age.
BUSARA NA HEKIMA ITUMIKE kwa huyu mtoto,kama busara ilivyotumika kwa waliokataa kuhesabiwa sensa ambao walivunja sheria. au busara ilivyotumika kumuachia DIBAGULA aliyekashifu wakiristo kuwa YESU SIO MUNGU, au busara ilivyotumika kumuachia kiongozi wa UAMSHO.
Busara itumike zaidi na huyo mtoto aachiwe huru la sivyo panaweza kuchimbika na kusababisha amani na utulivu kutoweka.
Hii issue ni ndogo sana tena imefanywa na mtoto ambaye yuko katika maturity age.
BUSARA NA HEKIMA ITUMIKE kwa huyu mtoto,kama busara ilivyotumika kwa waliokataa kuhesabiwa sensa ambao walivunja sheria. au busara ilivyotumika kumuachia DIBAGULA aliyekashifu wakiristo kuwa YESU SIO MUNGU, au busara ilivyotumika kumuachia kiongozi wa UAMSHO.
Busara itumike zaidi na huyo mtoto aachiwe huru la sivyo panaweza kuchimbika na kusababisha amani na utulivu kutoweka.