Buriani Pendo, Buriani mpenzi yangu

Naulazimisha mtima, uikubali hatima,
Mikono nikiachama , isilishikize tama ,
Japo chozi aandama , ujasiri najipima
Niseme si langu fungu , haujakubali mtima
 

Pole sana Mungu Wa mbinguni ampe pumziko la milele pendo wako[emoji1488]
 
Pole sana mkuu...! Apumzike kwa amani Bi Pendo.
 
Kuna sehemu umeona uasherati? Je kuwa wapenzi ni kufanya ngono , ni lugha sawa na alikuwa mchumba wangu tukiwa kabisa kwenye hatua ya kuingia kwenye ndoa, saratani ikakatisha safari yetu
Sijui nikwambieje mkuu? Mimi bado napata maruweruwe tu, saratani ni shetani kamili, eti Leo nimebaki kama yatima!!

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Acha uboya wa kujihesabia haki, kwani ndoa ndio tiketi ya kwenda huko peponi unakokuamini wewe?
 
Pole mkuu saratani ni janga lingine la kutisha duniani. Siku hz unakuta vijana wtt wanakufa kwa hili jinamizi. Jipe moyo
 
Pole mkuu saratani ni janga lingine la kutisha duniani. Siku hz unakuta vijana wtt wanakufa kwa hili jinamizi. Jipe moyo
Unakufa ukijijua utakufa , nilijitahidi kumtia moyo lakini wapi aliamini mda umeisha , siku mbili tu naondoka kutoka karibu na kwao anaandika wosia , na anaaga dunia
 
Dah mko vzr kwenye mashahiri umelipatia haswa
 
Kumanyooko kifo kwann hutoi taarifa pendo angejiandaa akatwambia tumdai nani mwenye Deni

Kifo ooh kifo huna huruma nimeenda kununua mboga narudi kifo umemchukua pendo wangu

Kifooo huna huruma twambie mapema nasi tuage
 
Nawaza sijui Pendo alikuwepo pale ziwa Victoria au ni kifo kingine tu?......
Ila pole sana mkuu Mashaurijr
 
Ur mourning or you are writing a poem?

If ur mourning let wish ur soulmate Rest in Peace and if ur writing a poem you a good upcoming poet
Sasa wewe mwenzio anaandkika kiswaz wewe una muandikia kidhungu mtaelewana kwel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…