KING ASSENGA
JF-Expert Member
- Oct 8, 2016
- 929
- 1,500
- Thread starter
-
- #21
Naulazimisha mtima, uikubali hatima,Ulale salama Pendo,Mashauri wako akulilia
Umelala na wako upendo,Ni ngumu kuvumilia
Hakika umemaliza mwendo,mwenzio haachi kulia
Hakika atakalo Mola,binadamu hawezi zuia
Mpendwa Kaka mfiwa,jikaze wako mtima
Namjua wako ukiwa,kupoteza wake uzima,
Kuonana majaliwa,kumuombea simama
Hakika atakalo Mola,binadamu hawezi zuia
R.I.P .
AsantePole Niko kwa ajili ya Pendo.
Nimelitunga katika huzuni kubwa mengine baadaeShairi zuri sana hili, umelikatia copyright lakini?
Ni juzi tulikuwako, kwa karamu yakufana
Ikiwa bathdei yako, Da! Pati ya kuagana
Ukanita Niko ,Niko, Ati hatuta achana
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Siamini umeenda, hatutaonana tena
Yote tuliyoyatenda, hayatarudia tena
Popote tulipo kwenda, hatuwezi fika tena
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Siamini hutofika, kawaida kusalimu
Kwa utani tukicheka, Dah! Hilo tabasamu
Malengo yakipangika, mbeleni ndoa muhimu
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Ukapanga lake jina, la mtoto tukijaliwa
Kwa wakike Rihanna, wa kiume majaliwa
Ni mipango mingi sana, tulopanga maridhawa
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Umeniacha na kidonda, kutwa kucha ninakonda
Giza nene limetanda, moyo wangu ulipenda
Pendo leo umeenda, Najua sio kwa kupenda
Ni seme si langu fungu, haujakubali mtima
Moyo wajawa uchungu, hauijui hatima
Kwaheri', Mapenzi yangu, yamebakia yatima
Nisamehe sana Mungu, nizitoapo lawama
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Ukaandika wosia, nifikie mazikoni
Eti niache kulia, siwezi huo mtihani
We ukiniandikia, pendo ulilia nini?
Mama yote kanitonya, kweli tulipendana
Nenda salama pendo, sisahau abadani
Ulinifunza upendo, uliozidi uzani
Umeacha pengo, pendo, Mpaka nije kwa manani
Kwaheri' mpenzi, Tutaonana baadae
Unaelewa maana ya "kuhukumu"???Usihukumu usije ukahumiwa. Mpaka Pendo anaaga dunia hukuwa nae.... Swala la dhambi au mema ni lake na Mungu wake..... Sote hatuna ukamilifu mbele za Mungu
Pole sana mkuu...! Apumzike kwa amani Bi Pendo.Ni juzi tulikuwako, kwa karamu yakufana
Ikiwa bathdei yako, Da! Pati ya kuagana
Ukanita Niko ,Niko, Ati hatuta achana
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Siamini umeenda, hatutaonana tena
Yote tuliyoyatenda, hayatarudia tena
Popote tulipo kwenda, hatuwezi fika tena
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Siamini hutofika, kawaida kusalimu
Kwa utani tukicheka, Dah! Hilo tabasamu
Malengo yakipangika, mbeleni ndoa muhimu
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Ukapanga lake jina, la mtoto tukijaliwa
Kwa wakike Rihanna, wa kiume majaliwa
Ni mipango mingi sana, tulopanga maridhawa
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Umeniacha na kidonda, kutwa kucha ninakonda
Giza nene limetanda, moyo wangu ulipenda
Pendo leo umeenda, Najua sio kwa kupenda
Ni seme si langu fungu, haujakubali mtima
Moyo wajawa uchungu, hauijui hatima
Kwaheri', Mapenzi yangu, yamebakia yatima
Nisamehe sana Mungu, nizitoapo lawama
Niseme si langu fungu, haujakubali mtima
Ukaandika wosia, nifikie mazikoni
Eti niache kulia, siwezi huo mtihani
We ukiniandikia, pendo ulilia nini?
Mama yote kanitonya, kweli tulipendana
Nenda salama pendo, sisahau abadani
Ulinifunza upendo, uliozidi uzani
Umeacha pengo, pendo, Mpaka nije kwa manani
Kwaheri' mpenzi, Tutaonana baadae
Sijui nikwambieje mkuu? Mimi bado napata maruweruwe tu, saratani ni shetani kamili, eti Leo nimebaki kama yatima!!Kuna sehemu umeona uasherati? Je kuwa wapenzi ni kufanya ngono , ni lugha sawa na alikuwa mchumba wangu tukiwa kabisa kwenye hatua ya kuingia kwenye ndoa, saratani ikakatisha safari yetu
Acha uboya wa kujihesabia haki, kwani ndoa ndio tiketi ya kwenda huko peponi unakokuamini wewe?Kwa hiyo Pendo amekufa akiwa katika status ya "uasherati".
Maana yake, kutokana na maelezo yako mwenyewe, wewe na marehemu mlikuwa hamjafunga ndoa, ila mlikuwa mnafanya "uasherati".
Kumbuka imeandikwa, "wazinzi na waasherati hawatauona Ufalme wa MUNGU kamwe".
Hakuna ajuaye siku ya kufa, hivyo basi ni vema sana kila aliye hai sasa hivi akajitahidi sana kuishi maisha ya usafi.
Usiogope kufa, bali, ogopa sana kufa ukiwa na DHAMBI!!!!!
Mwenye masikio na asikie.
Unakufa ukijijua utakufa , nilijitahidi kumtia moyo lakini wapi aliamini mda umeisha , siku mbili tu naondoka kutoka karibu na kwao anaandika wosia , na anaaga duniaPole mkuu saratani ni janga lingine la kutisha duniani. Siku hz unakuta vijana wtt wanakufa kwa hili jinamizi. Jipe moyo
Pole sana kaka.sKuna sehemu umeona uasherati? Je kuwa wapenzi ni kufanya ngono , ni lugha sawa na alikuwa mchumba wangu tukiwa kabisa kwenye hatua ya kuingia kwenye ndoa, saratani ikakatisha safari yetu
Sielewi.Unaelewa maana ya "kuhukumu"??
Safi kyomaaUr mourning or you are writing a poem?
If ur mourning let wish ur soulmate Rest in Peace and if ur writing a poem you a good upcoming poet
Dah mko vzr kwenye mashahiri umelipatia haswaUlale salama Pendo,Mashauri wako akulilia
Umelala na wako upendo,Ni ngumu kuvumilia
Hakika umemaliza mwendo,mwenzio haachi kulia
Hakika atakalo Mola,binadamu hawezi zuia
Mpendwa Kaka mfiwa,jikaze wako mtima
Namjua wako ukiwa,kupoteza wake uzima,
Kuonana majaliwa,kumuombea simama
Hakika atakalo Mola,binadamu hawezi zuia
R.I.P .
Shikamoo kifoNaulazimisha mtima, uikubali hatima,
Mikono nikiachama , isilishikize tama ,
Japo chozi aandama , ujasiri najipima
Niseme si langu fungu , haujakubali mtima
Sasa wewe mwenzio anaandkika kiswaz wewe una muandikia kidhungu mtaelewana kwelUr mourning or you are writing a poem?
If ur mourning let wish ur soulmate Rest in Peace and if ur writing a poem you a good upcoming poet
SarataniNawaza sijui Pendo alikuwepo pale ziwa Victoria au ni kifo kingine tu?......
Ila pole sana mkuu Mashaurijr