Who is that picture? Kiongozi kama huyu hafai kuongoza wananchi wake, Mbunge kama huyu iweje wananhi wake wamchague na anakwenda bungeni kulala usingizi? Ahhhhh Wa Tanzania tuamkeni kuwachaguwa Viongozi imara.
Who is that picture? Kiongozi kama huyu hafai kuongoza wananchi wake, Mbunge kama huyu iweje wananhi wake wamchague na anakwenda bungeni kulala usingizi? Ahhhhh Wa Tanzania tuamkeni kuwachaguwa Viongozi imara.
yaani hyu ana tofauti gani na mugabe? yaani mizee hii ikae home ulee wajukuu..tatizo lao hawakubali kuzeeka hawa haani hapo ukute kakesha na mapangaboi ya vitoto vya UDOM afu asubuhi anaenda kujadili miswada na majedwani kama yanaafikiwa...aghhh nchi hii bana