My take:
Hawa wenyeviti wanapatikanaje?
Ivi hayo maneno yakiwekwa kwa Hansard au ata kwa wale tuliona live si inaonesha ukosefu wa busara na hekima kwa huyu mwenyekiti.
Huwezi mwambia mwanamme mwenzako anawashwa washwa!
Jamani sio kila mtu anaweza kuwa mwenyekiti
Bunge la mipasho! wanatumia vibaya rasilimali za hapo, ni heri wangekuwa na kamjengo ka kubanana km kenya, nafikiri tukifanya cost benefit analysis ya gharama za jengo na kinachofanyika humo, bonge la hasara.