Bunge si LIVE TENA

Bunge si LIVE TENA

kajunju

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2011
Posts
999
Reaction score
317
Kama tulivyozoea kipindi cha bunge,sasa si live tena! Makinda na Ndugai lengo lao limefanikiwa. Mpango huu ulipigiwa chepuo na wabunge wa ccm na badae Kashirila na mkurugenzi wa bunge ndugu Mwakasyuka walipenda hiwe hivyo na sasa imekuwa.

Baada ya watz kuchachamaa, uongozi wa bunge ulionekana kuogopa msimamo wa Tz, Jana tuliona yaliyotokea bungeni.

Matangazo yalikatwa baada ya Lissu kuambiwa atoke nje. Leo Serina Kombani wakati anahutubia wamestisha matangazo kwa muda.

Hii ni aibu kwa nchi yetu na Makinda kuwa aliwekwa na mafisadi hivyo anatekeleza analoambiwa. Kinachooneshwa live ni mzungumzaji/mchangiaji tu, matukio kama Wassira kusinzia, Serukamba kuchati na simu hawatak kuonyesha.

Bunge live sasa ni kama 'mtu ameenda Tra kupiga picha kwa ajili ya kubadilisha leseni ya udereva'.

Sisi watanzania tunataka tuone nani mchangiaji, mvurugaji, msinziaji, mtukanaji na mpindisha kanuni ili 2015 tuamue wenyewe.

Watz tunataka kodi zetu zitumike vizuri ili vyombo kama Itv, Star Tv na Tbc inayochakachua taarifa ioneshe kila kitu.
 
nawambia wenye mtizamo (+) wanaojua kinachoendelea hapa nchini ata nanyi (-) ambao kikicha kukachwa wewe unaona ni sawa tu

boya hutumika kuogelea, lakini hata nchi kavu mupo. tafuta njia nyingine kutoa hoja na kutafuta njia safi. wakati waziri anatamka impatent lilisitishwa? au unataka kudanganya wana jf. lilisitishwa wkt gani ungesema, usifikiri ulisikiliza peke yako. bunge limeoza, ndio lkn usidanganye watu. pima heading yako na content yako. nenda shul kijana
 
je, Ndugai, Makinda na washirika wao wataweza kumrudisha mtoto aliyekwisha kufika Form IV (Tanzania) kwenye kukariri masomo ya Darasa la 3!??
Ngoja tusubiri na tuone
 
Kuliko watoto wetu kufundishwa matusi na waheshimiwa wabunge ni bore tule kitu recorded..! Liwalo na liwe
 
wewe mansakankanmusa,sijui kama umeelewa au basi tu unataka ubishi kwa mawazo ya mtu
 
Mansakankanm, mimi neno impatent kama unavyoeleza sijalisikia ila nimesikia impotent,madam spika alimkataza asiendelee kutoa hoja za neno hili. Inawezekana kabisa kuna wabunge walilalamika kuhusu komban kutumia neno impatent kama ulivyoliita,je umewaona?point hapa ni kuwa kinachoonyeshwa si live. Kama umesikia impotent ukaandika impatent....basi ata jina unalotumia hujui alitawala wapi na alifanya nini. Usiwe unakariri ndugu
 
je, Ndugai, Makinda na washirika wao wataweza kumrudisha mtoto aliyekwisha kufika Form IV (Tanzania) kwenye kukariri masomo ya Darasa la 3!??
Ngoja tusubiri na tuone

Waguma? Sijakuelewa kabisa mkuu.... Kasinge waitu.
 
Sasa hivi sijui kama ule ushirikina utaonyeshwa tena....
 
Back
Top Bottom