Bunge na Serikali msikubali kumhudumia mtu aliyejifanya hahitaji msaada wenu

Status
Not open for further replies.
Kweli jukwaa limevamiwa na misukule. Unadhani suala la Lissu kutibiwa ni la utashi wa mtu au ni la kisheria? Kwa sababu kama huelewi kisheria hata fedha zilizolipwa na chama kumtibia hadi sasa Bunge kama mwajiri wa Lissu wanapaswa kuki refund chama kila senti mradi waonyeshe uthibitisho.
Mada kama hizi za kijinga MODS walipaswa kuzifuta tuu kwani pamoja na uhuru wa kuandika lakini JF sio jukwaa la wajinga kwamba mawazo yako mfu badala ya kujadili na mumeo unayaleta hapa na kujaza nafasi.

Hata kama ni la kisheria...si mlikataa kwa dharau na majigambo kuwa hamna imani na serikali..Ummy Mwalimu alitoa Mwongozo kisheria..mkamtukana wee...nimegundua wengi wenu ni form four fail kama sio la saba....
 
Pale mwanzo iyo haki walikuwa hawajaiona
Kwakuwa wameona gharama zinawshinda
Ndo wanaikumbuka
Hamjui JPM hajaribiwi
PAMBANENI NA HALI ZENU
Hebu fafanua kidogo au unamaanisha Jpm hafuati sheria ee kama hivyo sawa, nimekuelewa, lingine hakuna sehemu yeyote inayomlazimisha mtu kutibiwa hospitali fulani, kama hataki ama watu wa karibu hawataki kingine kama ni kuhusu haki yake ya matibabu, kwanza hela ipo hiyo, pili kama gharama ni kubwa ni bora kusema kabisa kuwa gharama zitachangiwa kwa asilimia kadhaa,
 
Boss alexelias Umeonyesha upeo wako mdogo sana kwenye kujua Katiba na Sheria za Nchi, hasa kwenye suala la Mbunge na Haki zake. Nikushauri tu, kasome Wajibu na Haki za Mbunge den ndio hurudi hapa na Hoja za Mashiko.

Hivi mtu/watu WALIKATAA katakata kuhudumiwa na wewe eti kwa sababu hawakuamini na huenda ndiye uliye tekeleza jambo lile.

Na wakaenda mbali tena kwa majigambo kwamba wapo tayari hata kuuza figo zao ili wamtibie mtu wao kuliko kukubali kuhudumiwa na waliopanga hizo njama.

Eti leo yamewashinda na wanataka yule waliyemdhilia awahudumie-huo ni ujinga!Nyodo zote zile kumbe hamna lolote mliwezalo na leo mnaomba poo!

Bunge na serikali msikubali kumhudumia mtu aliyejifanya haitaji huduma zenu.Hii iwe funzo kwa wote wanaojidanganya eti wanaweza kumbe hovyo!
 
Kama ww walikupa ahadi kemukemu mpk leo hawajatimiza unataka kumdharau lissu mtu anakuzidi kila kitu kuanzia dhambi mpk swawabu?
 
Bunge na serikali msikubali kumhudumia mtu aliyejifanya haitaji huduma zenu.Hii iwe funzo kwa wote wanaojidanganya eti wanaweza kumbe hovyo!
uchawi si mpaka uhesabu matunguli,hata huu tu unatosha.
 
Hivi mtu/watu WALIKATAA katakata kuhudumiwa na wewe eti kwa sababu hawakuamini na huenda ndiye uliye tekeleza jambo lile.

Na wakaenda mbali tena kwa majigambo kwamba wapo tayari hata kuuza figo zao ili wamtibie mtu wao kuliko kukubali kuhudumiwa na waliopanga hizo njama.

Eti leo yamewashinda na wanataka yule waliyemdhilia awahudumie-huo ni ujinga!Nyodo zote zile kumbe hamna lolote mliwezalo na leo mnaomba poo!

Bunge na serikali msikubali kumhudumia mtu aliyejifanya haitaji huduma zenu.Hii iwe funzo kwa wote wanaojidanganya eti wanaweza kumbe hovyo!
Aliandika barua kuwa hataki kuhudumiwa na serikali? Stahiki za mbunge au kiongozi anapokuwa mgonjwa zipo kisheria siyo suala la kujifanya.
 
Lisu kisha sema ni haki yake kugharamikiwa na bunge
Linalosubiriwa ni majibu ya bunge kwanini wamechelewa au hawataki kumgharamikia! kila sheria inataratibu zake. Tusubiri jibu upande wa pili
 
Lisu alikuwa hajielewi wakati ule, mawazo mgando ya akina mbowe ndo yalikuwa yanaamua kila kitu. Unaweza kumwadhibu mtu kwa kosa ambalo si lake

Mawazo mgando ya kina Mbowe ndio yamefanya mpaka sasa yuko hai, washenzi nyie mlitaka kumuua. Sasa hivi anazidi kuimarika na anarudi siku sio nyingi, mlipambana sana afe lakini hajafa.
 
alexelias
Mfu wa mawazo na maskini wa akili. Hakuna anayeiomba serikali wala Bunge kumhudumia Lissu kama fadhila. Kinachodaiwa ni haki yake kama mbunge. Haki hiyo imewekwa bayana kwenye vitabu vya Bunge. Kuwa na weledi wa kutosha kabla ya kuanika ujinga wako hadharani.
Sheria na utaratibu wa nchi lazima ufuatwe si mbunge wala raia, Rufaa za nje ya nchi lazima zitolewe mhimbili hospital, ndo sheria inavyosema, je mgonjwa wako amepewa na nani rufaa??? Mbona mnapenda sana kulalamika hata kama mnamakosa??? Mnapenda kuonewa huruma kila siku kwa nini? Sheria zimewekwa zifuatwe na watu wote pamoja na kwamba anasitahili huduma za bunge na serikali asipofuata sheria hawezi kuhudumiwa.
 
Acha kupotosha umma...Wakati tunang'ang'ania apelekwe Muhimbili ili apitie taratibu husika mlituona hatumpendi...sasa hivi mmemtelekeza halafu unajidai ni sheria.

Kama Chadema mnategemea refund kwa utapeli wenu mlioufanya hakika andikeni maumivu kwani hakuna atakayetoa hiyo fedha.

Ngoja tukueleze ww jingalao huwa tuko huku jukwaani tunabishana na kupigana vijembe vya kisiasa. Hili la afya ya Lissu sio la siasa bali ni uhai, hatutaki tutoke huko kwenye utu tuhamie kwenye siasa. Lissu atibiwe kama haki yake. Akipona aje tuendelee na siasa, hatutaki kutumia lugha zitakazoleta mpasuko tunahitaji matibabu yake kwa haraka.
 
Mada km hizi mods mngezifuta mapema,huyu kaandika kimihemko zaid nazan ata yy sahv anajishangaa kwa alichoandika
 
Akitaka Tundu Lisu atibiwe kwa fedha zetu arejeshwe nchini vinginevyo atumie hela zake za kifisadi, isitoshe Lowasa ni bilionea, kwa nini hamlipii? Napinga kodi yangu kupelekwa Kenya, ...
 
Hivi mtu/watu WALIKATAA katakata kuhudumiwa na wewe eti kwa sababu hawakuamini na huenda ndiye uliye tekeleza jambo lile.

Na wakaenda mbali tena kwa majigambo kwamba wapo tayari hata kuuza figo zao ili wamtibie mtu wao kuliko kukubali kuhudumiwa na waliopanga hizo njama.

Eti leo yamewashinda na wanataka yule waliyemdhilia awahudumie-huo ni ujinga!Nyodo zote zile kumbe hamna lolote mliwezalo na leo mnaomba poo!

Bunge na serikali msikubali kumhudumia mtu aliyejifanya haitaji huduma zenu.Hii iwe funzo kwa wote wanaojidanganya eti wanaweza kumbe hovyo!
Unajua hata kukaa kimya ni busara sana kuliko huu ujinga uliondika. Hivi ni hisani au ni sheria inavyotaka ahudumiwe.
 
Nashauri mada zinazoandikwa mtindo huu zisiwekwe mahali hapa. Nasema hivyo kwa sababu great thinker hawezi kuandika vitu kama hivyo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom