Bunge linapaswa kutoa tafsiri ya Mshahara ili kumtendea haki Jerry Slaa. Basic salary ndio mshahara?



Je wewe unaona hiyo sheria inatenda haki?

Je kunahaja ya mapitio au ibaki kama ilivyo? Elezea.
 
Wabunge ni walafi ,Allowances zinakatwa kodi mfano House/Transport/Airtime zikiingizwa kwenye salary zinaliwa kodi ,hata kama umefanya Overtime zinakatwa kodi ,kwanini Allowances za wabunge hazikatwi kodi?
Mkuu mi hapo kwenye kukatwa overtime pay ndo nachoka...yan nimejibania kufanya mambo yangu ili nipate hiko kidogo niongezee kwenye salary bado nacho kodi inakipitia dooh
 
Hata TRA wanajua mshahara wako ni ile Gloss Salary...yaani unachokipata chote bila makato.

Jerry yupo sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…