Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,851
- 16,749
Naona wazii moto unaowawakia Ngeleja na AG, who allowed DOWANS walipwe mabilioni?
Bunge ndilo linalo pitisha Budget, kama vile hawajui taratibu, Mkulo kajitoa
kakaa mbali, kasema hazina haitoi hela, hii yote KUHOFIA BUNGE, sasa hawa wawili
hali yao itakuwa mbaya mno hapo Feb, tusubiri, sijui watajitetea na nini? how..? hakuna
mwenye nguvu zaidi ya bunge, najua speaker ni wa CCM hawezi tuliza moto huu, hapo sasa
Bunge ndilo linalo pitisha Budget, kama vile hawajui taratibu, Mkulo kajitoa
kakaa mbali, kasema hazina haitoi hela, hii yote KUHOFIA BUNGE, sasa hawa wawili
hali yao itakuwa mbaya mno hapo Feb, tusubiri, sijui watajitetea na nini? how..? hakuna
mwenye nguvu zaidi ya bunge, najua speaker ni wa CCM hawezi tuliza moto huu, hapo sasa