johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 85,045
- 143,784
Naona bunge linatafuta uugwaji mkono wa "local clergymen" juu ya "dipiiwedi".Mbunge Anna Lupembe pamoja na mbunge wa Arusha Mjini mh Gambo wamewasilisha Barua ya mwaliko kwa Nabii Mkuu Geodevie kutoka Ofisi ya Bunge
Baada ya kukabidhiwa Nabii Mkuu Geodevie amewaambia Huo ni mwaliko wa Bunge kwenda Kufanya Maombi Maalum kwenye Chapel ya Bunge
Kanisa zima likaripuka kwa hoi hoi na vifijo
Nawatakia Dominica Njema π
Ni utaratibu wa kawaidaBunge limeanza kuchanganyikiwa!
Ninachojua Gambo harudi bungeni 2025. Anatapatapa.Mbunge Anna Lupembe pamoja na mbunge wa Arusha Mjini mh Gambo wamewasilisha Barua ya mwaliko kwa Nabii Mkuu Geodevie kutoka Ofisi ya Bunge
Baada ya kukabidhiwa Nabii Mkuu Geodevie amewaambia Huo ni mwaliko wa Bunge kwenda Kufanya Maombi Maalum kwenye Chapel ya Bunge
Kanisa zima likaripuka kwa hoi hoi na vifijo
Nawatakia Dominica Njema π
Ngoja wakakanyage chumvi ya upako ππMbunge Anna Lupembe pamoja na mbunge wa Arusha Mjini mh Gambo wamewasilisha Barua ya mwaliko kwa Nabii Mkuu Geodevie kutoka Ofisi ya Bunge
Baada ya kukabidhiwa Nabii Mkuu Geodevie amewaambia Huo ni mwaliko wa Bunge kwenda Kufanya Maombi Maalum kwenye Chapel ya Bunge
Kanisa zima likaripuka kwa hoi hoi na vifijo
Nawatakia Dominica Njema π
Ngoja nasi tupeleke ujumbe kwa local sheikh aje arudishe akili za wabunge.Naona bunge linatafuta uugwaji mkono wa "local clergymen" juu ya "dipiiwedi".
Roma locuta causa finita.
Ila ukiwa na pesa.....utafanya chochote na hutasemwaView attachment 2722950
Inapendeza
Mbunge Anna Lupembe pamoja na mbunge wa Arusha Mjini mh Gambo wamewasilisha Barua ya mwaliko kwa Nabii Mkuu Geodevie kutoka Ofisi ya Bunge
Baada ya kukabidhiwa Nabii Mkuu Geodevie amewaambia Huo ni mwaliko wa Bunge kwenda Kufanya Maombi Maalum kwenye Chapel ya Bunge
Kanisa zima likaripuka kwa hoi hoi na vifijo
Nawatakia Dominica Njema
Wanaijibu TEC kiana? hawataweza, kanisa halina hata tawi mojaMbunge Anna Lupembe pamoja na mbunge wa Arusha Mjini mh Gambo wamewasilisha Barua ya mwaliko kwa Nabii Mkuu Geodevie kutoka Ofisi ya Bunge
Baada ya kukabidhiwa Nabii Mkuu Geodevie amewaambia Huo ni mwaliko wa Bunge kwenda Kufanya Maombi Maalum kwenye Chapel ya Bunge
Kanisa zima likaripuka kwa hoi hoi na vifijo
Nawatakia Dominica Njema π
Kwanini wasialike BAKWATA?Bunge limeanza kuchanganyikiwa!
Kanisa lenyewe halina hata tawi mojaNaona bunge linatafuta uugwaji mkono wa "local clergymen" juu ya "dipiiwedi".
Roma locuta causa finita.
sasa unategemea nini, bunge la mashetani kwanini lisimualike nabii wa shetani, birds of the same feather fly together. Geordavie ni ajenti wa shetani kabisa na wote wanaosali kwake wanaenda motoni.Mbunge Anna Lupembe pamoja na mbunge wa Arusha Mjini mh Gambo wamewasilisha Barua ya mwaliko kwa Nabii Mkuu Geodevie kutoka Ofisi ya Bunge
Baada ya kukabidhiwa Nabii Mkuu Geodevie amewaambia Huo ni mwaliko wa Bunge kwenda Kufanya Maombi Maalum kwenye Chapel ya Bunge
Kanisa zima likaripuka kwa hoi hoi na vifijo
Nawatakia Dominica Njema π
CCT inakujaMpaka sasa, Bakwata washatupa karata yao, tumeona uwezo wao wa kutetea kuanzia mwanzo na sasa uwezo wao wa kuchambua hoja.
Bunge ndo hivyo........anayefuata asichelewe kujitokeza tafadhali
Nadhani wakimaliza, TEC watagonga kitu ingine tena!
Enyi, mjitahidi kupiga hizi tamko angalau mara 2 kwa mwaka, nchi ichangamke...ameeeeen.