Bunge laahilishwa mpaka kesho asubuhi

Bunge laahilishwa mpaka kesho asubuhi

Nicholaus Kilunga

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2014
Posts
1,188
Reaction score
570
Naibu spika wa bunge la jamhuri wa Tanzania Job Ndugai ameahilisha bunge mpaka kesho asubuhi ili kutoa kamati ya fedha,wizara ya fedha na kambi ya upinzani kupata nafasi nzuri ya kupitia ,kuchambua na kuandaa hoja zao vizuri juu ya mswada wa sheria ya fedha(financial bill)uliowasilishwa jana jioni
 
Machali Ambana Naibu Waziri Maliasili, Aweweseka.
 
Back
Top Bottom