Bunge la nani?

yakub

Member
Joined
Feb 25, 2011
Posts
41
Reaction score
4
Who is the owner of parliament is wananchi, CCM or CHADEMA maana kila nikifatilia bunge nackia hoo serikali ya CCM imefanya hivi imefanya vile even if wakiulizwa mambo ya msingi wanadefend chama chao. so hili ni bunge la wananchi au Bunge la CCM kupinga hoja za vyama pinzani vinavyowakilisha wananchi.
 
Imefika wakati wa kuwatoa magamba umefika manake ss naona wanatufanya watoto sana. Wabunge wa magamba kazi kuharibu meza zetu walipa kodi kwa kupiga makofi tu.ila dawa yao inachemka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…