Bunge la mwezi April

lipoprotein

Member
Joined
Oct 4, 2016
Posts
51
Reaction score
58
Great thinkers tutegemee nn kwenye bunge litakaloanza hiv karibuni? Je hoja za msingi zitawekwa mezani tayari kwa kujadiliwa au Dada yule atachukua mbeleko yake tena? Je ikitokea Dada yule akachukua mbeleko tena kwa haya yanayotokea nini kifanyike sisi kama wanainchi?
 
Tutegemee yale yale maana idadi ya wabunge wa CCM ni wengi bado,hivyo kile kilichopangwa kupita na serikali kuu ndicho kitapita na wala si maoni na mapendekezo yetu sisi wananchi wa chini
 
Bungeni naona 'kuminya mambo' nako kumeanza kwa kasi sana sijui mbeleni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…