CCM walitoa maoni kwa wingi hasa kupitia Mabaraza ya Katiba kuunga mkono Serikali 2 lakini Warioba na timu yake hawakuyagusia! Ni kama vile hayakuwepo, there is something wrong somewhere, ndio maana Warioba pamoja na kumaliza kazi yake ya uenyekiti wa Tume bado anang'ang'ania kurudia yale yale aliyokwisha kusema!