Bunge la ahirishwa hadi kesho

Kwa nini hoja ikiletwa na upinzani inakataliwa na Spika lakini ikiletwa na CCM inakubaliwa;

kwa mfano jana Mbunge wa Wawi alitoa hoja ya kuhailishwa shughuri za bunge ikakataliwa kwa nguvu kubwa lakini ilipoletwa na CCM ikakubaliwa?

Maslahi ya chama kwanza..!
 
Tunaomba wakati bunge likihairishwa na posho za wabunge nazo zisitishwe mpaka bunge litakaporudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…