Bunge kulalamika kutokupata pesa walizotengewa kwenye bajeti ni mshangao mkubwa.

pakaywatek

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
4,654
6,277
Juzi kati kamati ya bunge ililalamikia serikali kutokutoa pesa zilizotengwa kwa ajili ya matumizi ya bunge na kufanya mambo mengi kukwama ndani ya bunge.

Swali ni hivi; hawa wabunge si ndio walipewa pesa wakazirudisha kwa magufuli?
Sasa wanalilia nini wakati pesa walidai wamepewa nyingi hadi hawana pa kupeleka wakaamua kuzirudisha kwa aliyewapa! Naomba mheshimiwa Rais awape kiwango kilekile hau apunguze zaidi ili wajue ubaya wa kujipendekeza.
 
Wasijesemee wenyewe,wawaseme na wengineo serikalini ambao pia wana changamoto kama hizohizo manake hizo changamoto haziko Bungeni pekee.
 
Juzi kati kamati ya bunge ililalamikia serikali kutokutoa pesa zilizotengwa kwa ajili ya matumizi ya bunge na kufanya mambo mengi kukwama ndani ya bunge.

Swali ni hivi; hawa wabunge si ndio walipewa pesa wakazirudisha kwa magufuli?
Sasa wanalilia nini wakati pesa walidai wamepewa nyingi hadi hawana pa kupeleka wakaamua kuzirudisha kwa aliyewapa! Naomba mheshimiwa Rais awape kiwango kilekile hau apunguze zaidi ili wajue ubaya wa kujipendekeza.
Mafala hao acha nao waisome namba. Wanajipendekeza mno.
 
Hawatusaidii lolote hao hata lingefutwa kabisa... Wapo kwa maslahi yao tu. Nyambafffff
 
Back
Top Bottom