Safiiii!!!!!!! MaCCM wamewekeza kwenye buku-7,7 kuendeleza propaganda kwenye mitandao ya kijamii... acha waendelee kulala wakija kustuka nchi nzima hawana chao...
Mbona umekumbwa na baridi ghafla... Waambie MaCCM mezango wajitokeze mitaani kama watapata watu...!! Endeleeni kulala humu kwenye mitandao na porojo zenu mtakapostuka nchi nzima imechukuliwa..