Bunda ni ngome ya CHADEMA

mpaka STEVEN WASIRA AKIMBIE MWENYEWE bila kukimbizwa .
 
Safiiii!!!!!!! MaCCM wamewekeza kwenye buku-7,7 kuendeleza propaganda kwenye mitandao ya kijamii... acha waendelee kulala wakija kustuka nchi nzima hawana chao...
 
Tusubiri uchaguzi,

Mbona umekumbwa na baridi ghafla... Waambie MaCCM mezango wajitokeze mitaani kama watapata watu...!! Endeleeni kulala humu kwenye mitandao na porojo zenu mtakapostuka nchi nzima imechukuliwa..

Tusubiri matokeo!!
 
nyie chezea mtandaoni, mzee wa fitna yuko kazini. msipokuwa makini mtamsikia...
 
Wasira anazidi kuumbuka na maneno yake ya kijinga atakufa kisiasa yeye ila sio chadema na viashiria ndo hivyo
 
Hata kikwete aende na policcm wake,watapigwa mabao ya kutosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…