Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,268
- 222,290
- Thread starter
-
- #21
Ujumbe wako umefika hadi kwa Katibu MkuuUmewahi kujiuliza swali hili:
Kama CCM wanaweza kuwategemea mahakama, jeshi la polisi na tume ya Taifa ya Uchaguzi", kwa nini CHADEMA na wao wasifanye kila linalowezekana kuwategemea hao hao wakati wa uchaguzi?
Usikurupuke kujibu, wala usibeze kwa kushindwa tu kwako kuelewa maana ya swali hilo muhimu sana.
Kwani CCM wao wanawafanyia nini wote hao hadi kila mara wawe upande wao?
Huu ni mwelekeo mpya wa mawazo ninaouanzisha, ili CHADEMA waanze mara moja kazi kushughulikia upande huo.
CCM haina hati miliki na kitu chochote ndani ya nchi hii.
Mkuu 'monde arabe' nikushukuru kwa kunipa fursa ya kuweka mbele wazo hili, ili CHADEMA walishughulikie haraka.
CCM ni laanaKumbe! Huu diyo muonekano wa Bunda! Hii nchi ina watu maskini jamani! Hakuna hata nyumba moja decent!
nahisi kama aliyaaga mashindanoTumaini Makene siku hizi yuko wapi mbona ni kama anakutegea sana
Ili tuendelee tunahitaji ardhi, watu(wenye akili nzuri), siasa safi na uongozi Bora.Umewahi kujiuliza swali hili:
Kama CCM wanaweza kuwategemea mahakama, jeshi la polisi na tume ya Taifa ya Uchaguzi", kwa nini CHADEMA na wao wasifanye kila linalowezekana kuwategemea hao hao wakati wa uchaguzi?
Usikurupuke kujibu, wala usibeze kwa kushindwa tu kwako kuelewa maana ya swali hilo muhimu sana.
Kwani CCM wao wanawafanyia nini wote hao hadi kila mara wawe upande wao?
Huu ni mwelekeo mpya wa mawazo ninaouanzisha, ili CHADEMA waanze mara moja kazi kushughulikia upande huo.
CCM haina hati miliki na kitu chochote ndani ya nchi hii.
Mkuu 'monde arabe' nikushukuru kwa kunipa fursa ya kuweka mbele wazo hili, ili CHADEMA walishughulikie haraka.
Chadema ni ya woteTumaini Makene siku hizi yuko wapi mbona ni kama anakutegea sana
Kifupi tuseme wanategegemea katiba ya Sasa 1977 lichungwe hiloSafi sana Mkuu lkn,wasiwasi wangu ni kwamba ccm hawategemei kura zetu sisi wananchi.Tegemeo la ccm ni mahakama,jeshi la polisi na tume ya Taifa ya uchaguzi.
Mctobynahisi kama aliyaaga mashindano
πππMctoby
Unarudi lini na stori za kina majasusi au umepigwa mkwara
Mbinu zile zinasaidia huoni juzi akina mwabukusi na mdude walikwepa kutekwa ,nikama maskhara lakini zinatumika mno kitaa
vuta subira chifu kuna upepo wa vumbi napitia ngoja hali itulieMctoby
Unarudi lini na stori za kina majasusi au umepigwa mkwara
Wanajaa kumshangaa hana loloteHakuna namna nzuri ninayoweza kueleza mapokezi ya Tundu Lissu Mjini Bunda , itoshe tu kusema haya ni mapokezi ya kifalme , watu ni wengi kuliko maneno yangu .
Hakika kwa Chadema ni dhahiri sasa kwamba gari limewaka ! Si rahisi tena kuzuia Chadema kwa hali ilivyo , Uchawi na Fitna zote vimechemsha .
Kingine ni hiki , Habari za Mkataba mbovu wa Bandari zimewakasirisha mno wakazi wa Bunda , ambao Wamesisitiza ulazima wa Katiba mpya sasa hivi
Hali ndio kama mnavyoona
View attachment 2736813
View attachment 2736814View attachment 2736815
Mnaangalia ujazo wa hadhara. Uchaguzi mipango ndiposa mtaanza kulia lia oooh tumeibiwa.Hivi vikosi viwili TU ccm Chali
Angani -mbowe
Ardhini-lisu
Navuta picha zito zuberi wa chadema ,nauislam wake angepewa Kanda ya kusini huko ,akazungumzie bandari na katiba
Vuta picha hiyo
Kwahio CHADEMA waanze kuwalipa mishahara ama?Umewahi kujiuliza swali hili:
Kama CCM wanaweza kuwategemea mahakama, jeshi la polisi na tume ya Taifa ya Uchaguzi", kwa nini CHADEMA na wao wasifanye kila linalowezekana kuwategemea hao hao wakati wa uchaguzi?
Usikurupuke kujibu, wala usibeze kwa kushindwa tu kwako kuelewa maana ya swali hilo muhimu sana.
Kwani CCM wao wanawafanyia nini wote hao hadi kila mara wawe upande wao?
Huu ni mwelekeo mpya wa mawazo ninaouanzisha, ili CHADEMA waanze mara moja kazi kushughulikia upande huo.
CCM haina hati miliki na kitu chochote ndani ya nchi hii.
Mkuu 'monde arabe' nikushukuru kwa kunipa fursa ya kuweka mbele wazo hili, ili CHADEMA walishughulikie haraka.
Ila Mungu ni fundi ameumba wajinga wengi hapa Duniani Ili kuwezesha wachache watawale,wengi wao hapo ni maskini wa kutupwa na wanaamini eti kina Lisu na Chadema or any political party ndio itawaletea ugali mezani ππHakuna namna nzuri ninayoweza kueleza mapokezi ya Tundu Lissu Mjini Bunda , itoshe tu kusema haya ni mapokezi ya kifalme , watu ni wengi kuliko maneno yangu .
Hakika kwa Chadema ni dhahiri sasa kwamba gari limewaka ! Si rahisi tena kuzuia Chadema kwa hali ilivyo , Uchawi na Fitna zote vimechemsha .
Kingine ni hiki , Habari za Mkataba mbovu wa Bandari zimewakasirisha mno wakazi wa Bunda , ambao Wamesisitiza ulazima wa Katiba mpya sasa hivi
Hali ndio kama mnavyoona
View attachment 2736813
View attachment 2736814View attachment 2736815
Kingine ni hiki , Habari za Mkataba mbovu wa Bandari zimewakasirisha mno wakazi wa Bunda , ambao Wamesisitiza ulazima wa Katiba mpya sasa hiviHakuna namna nzuri ninayoweza kueleza mapokezi ya Tundu Lissu Mjini Bunda , itoshe tu kusema haya ni mapokezi ya kifalme , watu ni wengi kuliko maneno yangu .
Hakika kwa Chadema ni dhahiri sasa kwamba gari limewaka ! Si rahisi tena kuzuia Chadema kwa hali ilivyo , Uchawi na Fitna zote vimechemsha .
Kingine ni hiki , Habari za Mkataba mbovu wa Bandari zimewakasirisha mno wakazi wa Bunda , ambao Wamesisitiza ulazima wa Katiba mpya sasa hivi
Hali ndio kama mnavyoona
View attachment 2736813
View attachment 2736814View attachment 2736815