YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Africa wazungu humshangaa mfalme mswati na kuoa kwake kila mwaka, Bulgaria kuna mnada ambao wazazi wenye watoto wa kike kila mwaka mwezi wa kumi huwapeleka watoto wao mnadani kwenye mnada mkubwa kama ulivyo wa wanyama,Binti huvaa vizuri akifikishwa mnadani hupigwa bei mwenye bei ya juu ndie huoa. ANGALIA HII VIDEO, mnada kama huu ungefanyika Tanzania kuna wanaume wasingepata mtu wa kuoa sababu ya ulofa