BUKOBA: Mwanafunzi achapwa na kuvujia damu kichwani, msaada wa haraka kunusuru uhai wake!

avi.JNR

Senior Member
Nov 17, 2015
139
87
Leo kwa mara ya kwanza namwaga machozi kuona mtu akinyimwa haki yake hakiyamungu

Habari kamili hii hapa

Ni Kijiji cha KARONGE

KATA YA IBWERA

WILAYA YA BUKOBA VIJIJINI

Ni katika shule ya msingi ya KARONGE tunakutana na uvunjifu wa haki za binadamu na walio wakubwa kuwa juu ya sheria

Mwalimu mmoja aitwaye Mwl NAZIR IDRISSA akiendeleza vitendo viovu shuleni hapo

Akipewa msaada mkubwa wa kuvunja haki za wanafunzi na Mwl mkuu kwa jina la MAJID

Mwlimu nazir amempa adhabu kali mwanafunzi wa darasa la sita la fimbo mpaka kumfanya mwanafunzi aitwaye DIANA kuvujia damu kichwanii

Mama mwenye mtoto akamua kwenda kutoa taarifa polisi lakini ni yale yale Mwl kaachiwa yupo mtaani na Bado Mwanafunzi Diana hali yake ikizidi kuwa mbaya mpaka hapa ameandikiwa rufaa ya kwenda kupata matibabu Bugando Hospital.

Ikiwa mama mwenye mtoto aitwaye Winnie akiwa na kipato kidogo sana .

Mama mwenye mtoto kaamua kukaa nyumbani na mgonjwa wake kwa kuwa hana hata uwezo wa kumtibia kwa hiyo anasubiria kuona mwanawe akipata madhara makubwa yanayosababisha kumuondoa mwanaye duniani ...

Haki za binadamu nendeni mumsaidie huyu mama ni mnyonge

Msaidie apate haki yake pia ku save uhai wa mwanaye tafadhali

Msamaria mwema mimi niliyeguswa na nisiye na sauti pia
 
Duh ka ni hivyo mbna ni hatar uko ndo nyumban kwetu........
Mkuu kwenu Walimu wamekuwa ni wafalme sasa..imefika kipindi naambiwa uyu mwalimu mkuu ananingiza hadi udini shuleni..ikiwa mtoto kavaa rozali basi akiwa anapigwa basi mpaka atavuliwa iyo rozali

Sasa kali kuliko ni kuwa Anawambia watoto wakiulizwa waseme hawajapigwa ..waseme wameanguka tu ..hivi ni kwel kila mwanafunzi anaanguka ???
 
Mkuu kwenu Walimu wamekuwa ni wafalme sasa..imefika kipindi naambiwa uyu mwalimu mkuu ananingiza hadi udini shuleni..ikiwa mtoto kavaa rozali basi akiwa anapigwa basi mpaka atavuliwa iyo rozali

Sasa kali kuliko ni kuwa Anawambia watoto wakiulizwa waseme hawajapigwa ..waseme wameanguka tu ..hivi ni kwel kila mwanafunzi anaanguka ???
Duh ss imekuw too much uyo mkuu analeta usngrm,,, anainglia dini za watu hafai
 
huyo mtoto ametibiwa bila pf3? hii ni kesi.

walimu wajifunze kutoa adhabu mbadala na sio viboko.
Alipata pf3 nadhani na mwlimu aliwekwa ndani siku iyo wakidhani ndo imeisha ..lakin badae mwl ametoka yupo na dogo. Ndo madhara yamekuwa makubwa sasa ..mpka ameandikiwa rufaa bugando ...
 
Na mbaya zaidi, wanatandikwa kichwani!
Asee nimeumia sana ..unapigaje kichwani?
Hata kama ni adhabu ..sasa mama inamuhusu nin .mpka kaingia gharama tena ..ukizingatia mMa anaishi kwa kulima vibarua??

Asee inauma saana
 
Afikishe hiyo inshu kwa mkuu wa wilaya fasta itafanyiwa kazi kwa haraka na huyo Mwl mkuu na uyo mwenzie wattumbuliwa tu.
 
Back
Top Bottom