walimu wao wenyewe niwaoga mno!hawana nia dhabiti nambinu zakimsimamo imara zakuitaka serikali iwape mshahara unaofaa,woga wao ndio umaskini wao!hovyo sana miwalimu yatanzania,sijui kinawashinda nini kucopy nakupaste waliyofanya wenzao wakenya?mtakula vumbi lachaki nakuonewa hadi namadiwani kata hadi basi msipo amua kwadhati kujipigania kufa nakupona.endeleeni kusubiri huruma ya rahisi kiwete wenu muone!!!!!!!