Bsc in Geology graduate looking for internship/ Volunteer job

Scropion_Master

Senior Member
Jan 8, 2017
109
113
Habarini zenu wadau, mimi ni kijana, muhitimu wa Bsc in Geology mwaka jana (2016). Nimekuwa nikihangaika kwa muda kidgo kutafuta kazi ila nimekutana na kikwazo cha uzoefu.

Hivyo basi kwa kufahamu kwamba jamii forum kuna watu mbali mbali ambao wanaweza kunisaidia.

Naleta ombi kwenu kwa mwenye uwezo wa kunisaidia kuweza kupata sehemu ya kufanya intership au kuvolunteer,Especially kwny migodi either large scale au medium scale mining nitashkuru sana. Natanguliza shukrani.

N.B wale wanaokimbilia kukoment jiajiri nimejiajiri kwa kibiashara changu kidgo lakini sipendi taaluma yangu ipotee.
 
Habarini zenu wadau, mimi ni kijana, muhitimu wa Bsc in Geology mwaka jana (2016). Nimekuwa nikihangaika kwa muda kidgo kutafuta kazi ila nimekutana na kikwazo cha uzoefu.

Hivyo basi kwa kufahamu kwamba jamii forum kuna watu mbali mbali ambao wanaweza kunisaidia.

Naleta ombi kwenu kwa mwenye uwezo wa kunisaidia kuweza kupata sehemu ya kufanya intership au kuvolunteer,Especially kwny migodi either large scale au medium scale mining nitashkuru sana. Natanguliza shukrani.

N.B wale wanaokimbilia kukoment jiajiri nimejiajiri kwa kibiashara changu kidgo lakini sipendi taaluma yangu ipotee.
Umewakomesha jiajiri.
 
Habarini zenu wadau, mimi ni kijana, muhitimu wa Bsc in Geology mwaka jana (2016). Nimekuwa nikihangaika kwa muda kidgo kutafuta kazi ila nimekutana na kikwazo cha uzoefu.

Hivyo basi kwa kufahamu kwamba jamii forum kuna watu mbali mbali ambao wanaweza kunisaidia.

Naleta ombi kwenu kwa mwenye uwezo wa kunisaidia kuweza kupata sehemu ya kufanya intership au kuvolunteer,Especially kwny migodi either large scale au medium scale mining nitashkuru sana. Natanguliza shukrani.

N.B wale wanaokimbilia kukoment jiajiri nimejiajiri kwa kibiashara changu kidgo lakini sipendi taaluma yangu ipotee.
Kuna jamaa mmoja alimaliza hayo mambo ya geology udom nadhani. Akatuma maombi ya internship kwenye kampuni Karibu zote relevant. Alipata mojawapo ila sijui kama ameajiliwa tayari
 
Wazo zuri sana hilo Geologist, pambana kuikuza carrier ikisha mature..shida zote utasahau!
 
Hali mbovu ndug, mi mwenyewe Geo ila nna mwaka wa pili sasa niko kitaa hakuna ajira kila nafasi zikitoka wanataka mtu mwenye experienc atleast 3yrs!!!
komaa na iyo biashara yako utatoboa tu mi naendesha bodaboda nna viwanja vitatu saiv mwez wa 6 nataka nianze kujenga tu maana hakuna namna!!!
 
Kweli mambo yamebadilika. Ni majuzi tu ma Geo tulikuwa tunachagua ajira.

Ngoja niitume kwa wajasiliamali watakutafuteni.
 
Kweli mambo yamebadilika. Ni majuzi tu ma Geo tulikuwa tunachagua ajira.

Ngoja niitume kwa wajasiliamali watakutafuteni.

duh mnatutisha jamani..
ivi kweli hali inaweza kurudi kweli kama mwanzo?? geology imekuwa dhaifu mnoo...masaki kampuni kibao lkn hawana ata mpango yani...
 
duh mnatutisha jamani..
ivi kweli hali inaweza kurudi kweli kama mwanzo?? geology imekuwa dhaifu mnoo...masaki kampuni kibao lkn hawana ata mpango yani...
Yap. Usikate tamaa itarudi. Tulifaidi tuliomaliza mwishoni mwa 90s na mwanzoni mwa 2000s. Ulikuwa unachagua serikalini au binafsi.
 
Back
Top Bottom