Brighter monday tanzania

Brighter monday tanzania

miss naire

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2016
Posts
237
Reaction score
228
Habari za muda huu,naomba kuuliza kama ulisha wahi upload CV yako brighter monday siku za nyuma,unaweza kuja kupigiwa cm hata kwa.nafasi ambayo hujaomba??Naogopa matapeli wa ajira kwani nimepigiwa na mtu aliye jitambulisha kwa.jina la ANDREW FROM BRIGHTER MONDAY,sija aply kazi ila kani interview kwa cm kasema amecheki CV yangu,je kuna aliye wahi kukutana na hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAZI HAMNA...RECRUITMENT AGENCIES ZIMEBAKI KUPOST KAZI FEKI ZIUZE MATANGAZO. tafuta kazi face to face au kupitia ndugu/marafiki.
 
Back
Top Bottom