KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Brigedia Haruna Rashid Othman ambaye ni mfuasi wa CUF ametajwa Kujihusisha na kundi la UAMUSHO na ametajwa kufanya mkakati wa Kuliimalisha kundi hilo ZNZ na Bara.
Hivi Karibuni Brigedia Othman amepindua utawala wa Umoja wa Wanajeshi Wastafu (MUWAWATA) kwa kile kilichotajwa kuwa kiongozi aliyepo madarakani anatumiwa na CHADEMA!!!
Hata hivyo mapinduzi hayo yamepingwa na wanachama wa ummoja huo ambapo wametaka Mkutano Mkuu wa Chama chao uitishwe kikatiba na si kufanya mapinduzi ya kijeshi!!!.
Wanajeshi Wastafu wamekanusha mapinduzi hayo kupitia gzt la NIPASHE LEO pg 2
Hivi Karibuni Brigedia Othman amepindua utawala wa Umoja wa Wanajeshi Wastafu (MUWAWATA) kwa kile kilichotajwa kuwa kiongozi aliyepo madarakani anatumiwa na CHADEMA!!!
Hata hivyo mapinduzi hayo yamepingwa na wanachama wa ummoja huo ambapo wametaka Mkutano Mkuu wa Chama chao uitishwe kikatiba na si kufanya mapinduzi ya kijeshi!!!.
Wanajeshi Wastafu wamekanusha mapinduzi hayo kupitia gzt la NIPASHE LEO pg 2