Unachosema ni sahihi kabisa tena kuna oxygen sensor zinaitwaMkinunua mabrevis badilisheni oxygen sensor zote nozel na spark plugs wekeni genuine mpya..brevis inakula mafuta KAWAIDA narudi tena KAWAIDA..breviz inakula 12.7km/litre 2500cc kuzidi mark ii grand yenye 1990cc ambayo ni 10km/litre ..brevis inatumia sensor kucontrol mafuta sensor ikichoka inakunywa sana..thats d4 technology...watu wanamezeshana sumu mfano crester 2000 beam vvti engine inaenda 5.6litre /100km ambayo ni 16km/litre..tanzania mambo huenda kwa kiki wala sio utafiti..jiulize kwanini hawasemi mark x inakula sana mafuta wanasema brevis haliyakuwa ulaji ni sawa?.
Misemo ya Mademu hio,achana nayo.Wamezoea Kuweka Mafuta ya Elfu Kumi ndio maana wanalalamika zinakula Mafuta sasa walitaka zinywe nini Supu ya Pweza
Zile huwa znachoka na ufanisi unapungua na taa ya check engine inakuwa haiwaki mpaka sensor ife au ichoke sanaaa ndo inawaka...ukizibadilisha ukaweka mpya mafuta yataenda 12km/l...zaidi ya altezza au grand gx100..tena gari yenye engine kubwa utakapoenda speed kubwa ulaji wa wese hupungua akati vitz na zengine ukienda speed kubwa may be 160km/h inakula wese and vise versa is true.Unachosema ni sahihi kabisa tena kuna oxygen sensor zinaitwa
BOSCH O2 Oxygen Sensor Toyota Brevis AI250 2.5L w/ UNIVERSAL WIRING to 1-4-wire sensor nasikia ni nzuri sana japokuwa sijawahi kuzipata na sijazielewa waliposema universal wiring to 1-4 wire sensor
Zipo za kutosha na kwa bei hiyo ata hatumii nguvu kuipata..aende mdogo mdgo tu anapata..Watu humu wanazinguaga sana,kuna mtu alinunua brevis kwa 6mil no D pale sinza kijiweni na machine iko poa balaa.
So tafuta polepole tu mkuu.
Ukapata average consumption ya kms ngapi per litre..Nilikuwa natafuta brevis mwezi uliopita nyingi zinazouzwa bei ndogo zina tatizo ambalo muuzaji hatokueleza. Nilikuja kuipata kwa mtu 9m, gari iko saafi, nimepiga nayo dar moshi na haina shida yoyote. Mafuta ni kawaida tu. Tusiogope kuwa na vitu vizuri kwa kuogopa maneno ya watu ambao hawajawahi kuwa watumiaji wa gari hizi. Brevis ni gari nzuri saana kama utapata nzima.
Highway ni 10km kwa lita. Nimesafiri nayo tanga to moshi kwenda na kurudi inakaribia km 600 kwa lita 60Ukapata average consumption ya kms ngapi per litre..
Zina tatizo gani ambalo huwa hawalisemi??Nilikuwa natafuta brevis mwezi uliopita nyingi zinazouzwa bei ndogo zina tatizo ambalo muuzaji hatokueleza. Nilikuja kuipata kwa mtu 9m, gari iko saafi, nimepiga nayo dar moshi na haina shida yoyote. Mafuta ni kawaida tu. Tusiogope kuwa na vitu vizuri kwa kuogopa maneno ya watu ambao hawajawahi kuwa watumiaji wa gari hizi. Brevis ni gari nzuri saana kama utapata nzima.
Vp Kwa Crown, hizo sensor Zipo pia?Unachosema ni sahihi kabisa tena kuna oxygen sensor zinaitwa
BOSCH O2 Oxygen Sensor Toyota Brevis AI250 2.5L w/ UNIVERSAL WIRING to 1-4-wire sensor nasikia ni nzuri sana japokuwa sijawahi kuzipata na sijazielewa waliposema universal wiring to 1-4 wire sensor
Kuhusiana na Crown sina uhakika lakini naweza kudhani zikawepo pia.
Naaamm Kama Yupo Serious Ipo Brevis Nzur Kabisa M9
Chin Ya Hapo Atauziwa Gari Mbov
siyo lazima aendeshe brevis gari ya milioni 5 atapata lakini siyo brevis
Habar wana jamvi nahitaji brevis rangi yoyote cc 2500 namba ianzie C ila ikiwa D itapendeza mwenye nayo aje pm ofa ml 5
Kwahiyo changamoto kubwa ya hiyo gari ni nini? Huwa naitamani sana..ASIKUUZIE MTU BREVIS ZAID YA MIL 7 HUYO MWIZI.BREVIS NI MIL 6 mpaka 7 na hata MIL 5.5 UNAPATA NZURI KABISA HAIJAGONGWA WALA KUWA NA UBOVU
mie nina plan kama yako kwa budget hiyo kama naweza pata Suzuki escudo generation ya 3 maarufu kama TANAPA au Rav4 miss TzWadau, hivi kwa mtaji wa m12 hadi 13 naweza kumvua mtu Kluger iliyo ktk hali nzuri?? Nina wazo la kuimiliki hiyo ndinga.