PreGE2025 Brenda Rupia :CHADEMA inawatakia Kila la Kheri Wanachama Walio jihudhuru

PreGE2025 Brenda Rupia :CHADEMA inawatakia Kila la Kheri Wanachama Walio jihudhuru

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
780
Reaction score
1,831
Chama kinawatakia kila la heri waliokuwa viongozi na wanachama waliotangaza kujiondoa leo. Tunatambua na kuthamini mchango wao katika kipindi walichokuwa nasi."

"Chama kitaendelea kusimamia misingi yake na kuwatumikia wanachama waliobaki kwa kuendeleza juhudi za kujenga taifa letu. Milango ya ushirikiano na mazungumzo iko wazi kwa yeyote mwenye nia njema kwa mustakabali wa nchi yetu."-Brenda Rupia Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi CHADEMA Taifa

Soma pia Pre GE2025 - DSM - Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA
 
Chama kinawatakia kila la heri waliokuwa viongozi na wanachama waliotangaza kujiondoa leo. Tunatambua na kuthamini mchango wao katika kipindi walichokuwa nasi."

"Chama kitaendelea kusimamia misingi yake na kuwatumikia wanachama waliobaki kwa kuendeleza juhudi za kujenga taifa letu. Milango ya ushirikiano na mazungumzo iko wazi kwa yeyote mwenye nia njema kwa mustakabali wa nchi yetu."-Brenda Rupia Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi CHADEMA Taifa
Kujihudhuru ndiyo kufanyaje?
 
Chama kinawatakia kila la heri waliokuwa viongozi na wanachama waliotangaza kujiondoa leo. Tunatambua na kuthamini mchango wao katika kipindi walichokuwa nasi."

"Chama kitaendelea kusimamia misingi yake na kuwatumikia wanachama waliobaki kwa kuendeleza juhudi za kujenga taifa letu. Milango ya ushirikiano na mazungumzo iko wazi kwa yeyote mwenye nia njema kwa mustakabali wa nchi yetu."-Brenda Rupia Mkurugenzi wa Mawasiliano na Uenezi CHADEMA Taifa

Soma pia Pre GE2025 - DSM - Baadhi ya G-55 wakiwemo Benson Kigaila, John Mrema, Catherine Ruge na Salum Mwalimu wajiondoa CHADEMA
Safi sana, hii taarifa rasmi ya chama imekaa kiofisi mno. Wangeanza kujishana nao wangewapa promo ya bure. Nimeipenda sana hii.👏
 
Hisia ni kwenye mapenzi tu, huku kwingine panahitaji akili na busara...

Baada ya Muda tutarudi hapa
 
Back
Top Bottom