Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Ni mida hii,ilikuwa inatokea Mwadui kuelekea Shinyanga mjini,zaidi ya majeruhi 15 wamekimbizwa hapo Kolandoto Hoaspital kwa matibabu,marehemu alikuwa ni mwalimu katika Shule ya Msingi Songwa,jirani na mgodi wa almasi wa Mwadui.(na za gari na jina la marehemu baadaye kidogo)
Poleni wafiwa na Mungu awajalie majeruhi wapone haraka.
RIP Mwalimu.
UPDATES:
Ajali imetokea kwenye ile kona ya barabara ya vumbi itokayo Kolandoto Hospital kuingia bara kuu ya rami(Mwanza-Shinyanga) na ni kwamba Hiace hiyo imegongwa na Lori kubwa wakati ikiingia main road.
Mpaka sasa imethibitika majeruhi wengine 6 wamefariki Dunia miongoni mwao ni wanafunzi wa Shybush Sekondari.Na pia duru ambazo hazijathibitishwa bado zinaarifu kuwa kuwa majeruhi waliokimbizwa hospital wamefariki Dunia isipokuwa dereva na abiria wengine 4 wanaendelea kuhudumiwa na pia hali zao zinaelezwa kuwa ni mbaya sana.
Tutaendelea kupeana updates zaidi.
Poleni wafiwa na Mungu awajalie majeruhi wapone haraka.
RIP Mwalimu.
UPDATES:
Ajali imetokea kwenye ile kona ya barabara ya vumbi itokayo Kolandoto Hospital kuingia bara kuu ya rami(Mwanza-Shinyanga) na ni kwamba Hiace hiyo imegongwa na Lori kubwa wakati ikiingia main road.
Mpaka sasa imethibitika majeruhi wengine 6 wamefariki Dunia miongoni mwao ni wanafunzi wa Shybush Sekondari.Na pia duru ambazo hazijathibitishwa bado zinaarifu kuwa kuwa majeruhi waliokimbizwa hospital wamefariki Dunia isipokuwa dereva na abiria wengine 4 wanaendelea kuhudumiwa na pia hali zao zinaelezwa kuwa ni mbaya sana.
Tutaendelea kupeana updates zaidi.