Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 743
uvumilivu ndo kila kitu.... huyo binti angekua wa dot com wasingedumu mpaka sahizi!!!!
Na wanapoomba kura zenu munawapa munasema matukio waliyohusishwa nayo kuwa walitolewa kafara tu hawakufanya waoSafi sana, sio mijitu imezoea soseji na mayai halafu inasema inazijua shida za wananchi na inang'ang'ania kwenda bungeni ili hali hata daladala hajawahi kupanda, shenxs taipu!!!!!!
Na wanapoomba kura zenu munawapa munasema matukio waliyohusishwa nayo kuwa walitolewa kafara tu hawakufanya wao
naona anamiliki baiskeli halafu ndio alikuwa bishoo wa enzi hizo. ingekuwa leo tungesema ni sharobaro. familia yake ni nzuri kwakweli.Ila Msigwa alikuwa smart toka long time kitambo!
huyu ni nani?
mkongwe kwa kweli. pale iringa ana bonge la mjumba aisee, na alilipata kabla hata hajawa mbunge.dah basi umri wake utakua umeenda sana maana hizo picha za nyuma sana