Uwe unaweka bei za kila bidhaa unayopost boss, au unapenda kuona meseji za 'sh ngapi?' Pm? Me binafsi sipendi kabisa kuulizia bei ya bidhaa ya kitu privately wakati umepost publicly
Uwe unaweka bei za kila bidhaa unayopost boss, au unapenda kuona meseji za 'sh ngapi?' Pm? Me binafsi sipendi kabisa kuulizia bei ya bidhaa ya kitu privately wakati umepost publicly
Mkuu hawa jamaa sijui wana matatizo gani na kuweka bei kwenye kila bidhaa zao wanazopost, tumeshawaambia mpaka tumeshoka, kila bidhaa wanataka mtu uulize uambiwe njoo pm sasa sijui wanachoficha ni nini, YAANI WANAZINGUA SANA!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.