ZionTZ
JF-Expert Member
- Oct 6, 2009
- 1,283
- 538
- Thread starter
- #21
Mkubwa kuna office nafuatilia katenda nina uhakika wa 70% mpaka sasa wa kukawin
mungu akisaidia ntakupigia jamaa wanahitaji 100
Tuombe mungu ajalie
@kidogo chetu: Poa kaka fanya mambo mkuu .... pamoja tunaweza, kwani wao waweze wananini mpaka sisi tushindwe bana...?? lets do business man!