Kakalende,
Huyu mtoto naona baba yake na yeye huwa wanakaa na kuangalia ile picha ya AL Pachino ya SCAR FACE. Humo ndani kuna sehemu USA Army wanarusha bomu linaloongozwa ka laser light na kumuua BOSS mmoja wa UNGA. Laiti wangelikuwa na kuwarushia MAFISADI nyumbani kwao, ingelikuwa poa sana. Ufisadi unauwa kama UNGA na hata zaidi .....