Boxer bodacoda 1,000,000.

Kama watu wote tungekuwa tunanunua
bidhaa tunazohitaji kutoka maduka rasmi kungekuwa na faida,kwanza tungepunguza wizi ambao hivi sasa umeshamiri mitaani na la pili serikali ingepata kodi.
 
hata mimi nauza sanlag kwa kiasi imetumika kwa mwaka mmoja.
 
Nauza hiyo unayoiona ktk picha,ilitumika wiki tatu tu halafu ikapata ajali.
Bei yang iko poa.
 

Attachments

  • 20130723_083131.jpg
    210.5 KB · Views: 189

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…