CONTROLA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2019
- 6,939
- 22,989
Hivi nani kashawahi mfuatilia platnum member mmoja hiv wa kujiita kassiiiiiii au mamaaa kasindeee?
Ushawahi ona vimaneno vyake vya kiudambwi udambwi anavyotumiaga akiwa hoi in love with....
Asee huyu bi mkubwa nasemaga laiti angekua wakiume halafu amuite mtoto wa kike aanze muimbisha
sidhani kama kuna mdada angechomoa,maana anavyojua pangilia maneno as if ni mshairi yani
Huyo dadiii wake anaemsemaga semaga sijui anajua mke wake ana maneno sumu kiasi hikiiii sijui kwakweli
Hivi mwanamke wa maneno ya hivi assume ndio umerudi una mihasira then unakuta HOME HAMNA CHAKULA
unamuita umuulize Vipi (huku ukiwa na jazba) aseee utaongeleshwa sentensi 1 tu na njaa yote itaisha utaenda sebleni
kusubiri Apike chakula.....
Wanawake mnapenda kubembelezwa ila tambueni hata wanaume tunapenda bembelezwa ila Kama hamuwezi kubembeleza
Chukueni short course kwa Kasinde nadhani ADA yake haitishi sana.
Mungu anapomuumba mtu wakike au wakiume Aseee hakoseagi (nimeamini)
Kuna mtu huwa anasemaga Wanawake wangekua wanaume na sisi Wanaume tukawa wanawake
Aseee hizi mimba tungetandikwa dabo dabo
Msalimieni na msim TAG kama mnamjua,muacheni aje tu siku Akutane na huu UZI.
Ushawahi ona vimaneno vyake vya kiudambwi udambwi anavyotumiaga akiwa hoi in love with....
Asee huyu bi mkubwa nasemaga laiti angekua wakiume halafu amuite mtoto wa kike aanze muimbisha
sidhani kama kuna mdada angechomoa,maana anavyojua pangilia maneno as if ni mshairi yani
Huyo dadiii wake anaemsemaga semaga sijui anajua mke wake ana maneno sumu kiasi hikiiii sijui kwakweli
Hivi mwanamke wa maneno ya hivi assume ndio umerudi una mihasira then unakuta HOME HAMNA CHAKULA
unamuita umuulize Vipi (huku ukiwa na jazba) aseee utaongeleshwa sentensi 1 tu na njaa yote itaisha utaenda sebleni
kusubiri Apike chakula.....
Wanawake mnapenda kubembelezwa ila tambueni hata wanaume tunapenda bembelezwa ila Kama hamuwezi kubembeleza
Chukueni short course kwa Kasinde nadhani ADA yake haitishi sana.
Mungu anapomuumba mtu wakike au wakiume Aseee hakoseagi (nimeamini)
Kuna mtu huwa anasemaga Wanawake wangekua wanaume na sisi Wanaume tukawa wanawake
Aseee hizi mimba tungetandikwa dabo dabo
Msalimieni na msim TAG kama mnamjua,muacheni aje tu siku Akutane na huu UZI.