johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,032
- 142,092
Ex Mayor Ubungo Boniface Jacob (Bonnyai) Umeonyesha uwezo mkubwa Sana wa kiuongozi japokuwa wewe ni wa chama cha upinzani
Nawashauri Wananchi wale wanaotaka kubomolewa nyumba zao kupisha ujenzi wa Depot ya Mabasi ya Mwendo Kasi wachukue Ushauri wako
Ni kweli kabisa uwoga wao ndio utawafanya walipwe Fidia kiduchu
Nikiri tu Ubungo walipoteza mtu muhimu wa kuwawakilisha bungeni 2020
Mungu wa mbinguni akubariki!
Nawashauri Wananchi wale wanaotaka kubomolewa nyumba zao kupisha ujenzi wa Depot ya Mabasi ya Mwendo Kasi wachukue Ushauri wako
Ni kweli kabisa uwoga wao ndio utawafanya walipwe Fidia kiduchu
Nikiri tu Ubungo walipoteza mtu muhimu wa kuwawakilisha bungeni 2020
Mungu wa mbinguni akubariki!